Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
CDM TRUTH AND NOT 'TRUCE' will SET you FREE
Yule mama wa cuf aliyefunuliwa buibui na na maafande je waislam waliombwa radhi na wizara ya mambo ya ndani??Na chadema wasipoomba radhi tutaamini kweli CDM inawadharau waislamu, na dharau hii itajulikana inatoka wapi!
chadema wamwombe radhi nani? kama ni kumwomba radhi DC,huyo DC yuko huru kupeleka shauri lake mahakamani na ambapo kwa sasa shauri hilo lipo mahakamani tayari,kwa hiyo tusubiri chombo cha kutoa haki kikatiba kitoe maamuzi.Na chadema wasipoomba radhi tutaamini kweli CDM inawadharau waislamu, na dharau hii itajulikana inatoka wapi!
mambo mengine ni magumu sana kuyajadili tena unapofanya assumption ya vitu visivyokuwepo.
Kuuliza kama angekuwa sister wangemvua kitambaa chake ni swali linaloonyesha upeo mdogo sana wa kufikiri.
Mhalifu anaposhughulikiwa huwa haulizwi dini yake, masuala ya kuulizana dini ni huko polisi na mahakamani sio kwenye eneo la tukio.
Mkuu, hakuna upofu mbaya kama upofu unaosababishwa na imani.bwana mkubwa hata kama ni muharifu kuna taratiibu za kufuata, zipo mamlaka ambazo zimeteuliwa kushughulikia waalifu, kama walimuona ni mualifu walitakiwa kuzipa taarifa mamlaka husika ndo zichukue sheria na sio kujichukulia sheria mkononi. Kufanya vile hakuna tofauti na wananchi wenye hasira wanaoua vibaka badala ya kuwafikisha katika vyombo vya sheria. Hapa ishu sio hijabu/mtandao ishu ni je wao ni mamlaka halali za kushughulikia suala hilo?
naiomba chadema itoe tamko hili.
bakwata iombe radhi kwa kuingilia maswala ya siasa wakati tendwa hawatambui.wavue kanzu waingie rasmi igunga wapige kampeni za wazi waeleze sera zao.
wananchi wakiwaelewa wawape kura.
kama cdm ni kweli kuna ajenda mbaya dhidi ya uislam nawashauri ombeni msamaha,kama hakuna ajenda yoyote mbaya na uislam,kuomba msamaha ni ujinga mzito ambao hautapata muzani wa kupimia. Mkiomba msamaha tu,magamba wamewapiga bao, wataanza oooh tulisema hawa wanampango mbaya na uislam,oooh tulisema hawa ni kanisa,si mnaona wamegundua mmewasitukia ndo wanajifanya bahati mbaya, hakika magamba watakuwa wameshinda kwa tko.
jamani ile haikuwa hijabu bali ni mtandio ambao ata wakristo wanavaa
Huenda kwa imani yenu hijabu/mitandio mnaona kama si mavazi ya lazima
Ulazima wa hijabu katika uislamu:
Lakini katika uislamu ni lazima kwa wanawake kuvaa hijabu yameelezewa wazi katika Qur-ani, Kuna sehemu mbili katika Qur-ani ambazo zimeelezewa ulazima wa kuvaa hijabu kwa wanawake.
Moja ni katika Suratul Nuur aya ya 30 na 31, na sehemu nyengine ni katika Suratul-Ahzaab aya ya 59ni lazima kwa wanawake kuvaa hijabu yameelezewa wazi katika Qur-ani.
Endapo ulikuwa hujui uzito wa hijabu katika uislamu natumai umepata kujua lakini kama una nia ya ku challenge then nakutakia kila la kheri.
chadema mwaka wao huu.