Wairaqw ndivyo walivyo?

Status
Not open for further replies.
nikiwa arusha kipindi hicho, niliowajua walikuwa na sifa hizi ...

1) wacha Mungu sana
2) wapole sana kwa muonekano ila ni wacheshi sana ukizoeana nao
3) wakarimu sana
4) ni wazuri na watamu mno (ukimpata na baada ya kukudengulia sana kumbe maji mara moja)
5) wanapendana sana kifamilia na ukoo
6) waachiaji kisirisiri sana (unaweza ukawa naye na bado kuna wa kabila lake akawa anammega)
7) opportunists / materialist (baadhi na wengi wao)
8) wana hasira sana sana sana sana (msisitizo uzingatiwe)!

inawezekana wako akawa tofauti, but kuwa makini!

best wishes!!

#1,2,3,4 sawa kabisa.. #6 ndo yanifanya nimuangalie kwa macho yote 2 coz kabla sijakutana naye kimwili aliniambia hajawi kudooo ila nilivyokutana naye kweli inshu ilikuwa imebana sana laikin hakuwa virgin hapo ndo mashaka yalikoanzia baada ya kumbana sana akasema aliwai kuumia kwenye baiskeli zamani huwa nakaa naye hata wiki ila sioni dalili za kuwa na mawasiiiano na m2 mwingine ila #6 ntaifanyia kazi
 
#1,2,3,4 sawa kabisa.. #6 ndo yanifanya nimuangalie kwa macho yote 2 coz kabla sijakutana naye kimwili aliniambia hajawi kudooo ila nilivyokutana naye kweli inshu ilikuwa imebana sana laikin hakuwa virgin hapo ndo mashaka yalikoanzia baada ya kumbana sana akasema aliwai kuumia kwenye baiskeli zamani huwa nakaa naye hata wiki ila sioni dalili za kuwa na mawasiiiano na m2 mwingine ila #6 ntaifanyia kazi

Bwana shemeji usipende yumbishwa na watu!simama wewe kama wewe na moyo wako!ukianza kumjudge mtu kwa tafsiri za watu utabaki tu kuniharibia dada angu alafu umwache!Make the hay while the sun still shining
 
Bwana shemeji usipende yumbishwa na watu!simama wewe kama wewe na moyo wako!ukianza kumjudge mtu kwa tafsiri za watu utabaki tu kuniharibia dada angu alafu umwache!Make the hay while the sun still shining
namfeel sana huyu binti hapa naona kila kitu kinaenda sawa cz najua kila m2 na tabia yake ila nimemkubali sana cz heshima utu uelewa mcha mungu vyafanya awe mke wangu wa ndoa
 
eeh...kumbe hapa ni kwa Wairaqw....ngoja nimtafute mkalimani sasa...

Hapa sio kwa wairaq --- ni kwa wanajamii wote.
Kuandika kiiraqw haimaanishi ni muiraqw
Binafsi nakielewa vizuri kiiraqw lakini ni mpare, nimekielewa maana nimesoma huko kwa miaka 6.

Busa ndiyo pombe niliyoinywa --- Mbulu juu ndiko zilipokuwa club zake,
Guwang ni mlima nilioupanda maranyingi kupunga upepo nikiwa Mbulu
Mamaisara (Kwermusl hadi Murray) ni sehemu nilikuwa naenda kutembea na kukutana na watu mbalimbali
Endagikot ni mnadani tulikuwa tunaenda kula nyama za kuchoma
Karatu kilikuwa ni kituo cha kupumzikia wakati wa kwenda likizo. Hapa tuliwaacha wenyeji nasi kuelekea kwetu Mwanga etc. Hapa tulikuwa na sehemu mbalimbali za kufikia zikiwemo, Geydan Lodge, Sulle GH, Tononoka etc.This was 1994 - Nilienda Karatu Mwaka huu mwanzoni nikashangaa sana palivyobadilika - KRT kuna Lami, Umeme, Mahotel ya maana etc
Kweli mambo yanabadilika.
 
Mungi, Daffi na wengine hebu niambieni, kuna jamaa mmoja mwiraqw alikuwa analalamika sana, anasema mila za kiiraqw ni ngumu sana, imefika wakati sasa, wairaqw wenyewe kwa wenyewe kuoana ni shida, sheria kibao, kila mtu ukimtokea unakuja kujua ni ndugu, mnaita dawi sijui, kwahiyo kinachotokea sasa watu wengi wenzi wao ni makabila mengine, kwahiyo inawezekana kabisa kabila la kimbulu likapotea kabisa.
 
Mungi, Daffi na wengine hebu niambieni, kuna jamaa mmoja mwiraqw alikuwa analalamika sana, anasema mila za kiiraqw ni ngumu sana, imefika wakati sasa, wairaqw wenyewe kwa wenyewe kuoana ni shida, sheria kibao, kila mtu ukimtokea unakuja kujua ni ndugu, mnaita dawi sijui, kwahiyo kinachotokea sasa watu wengi wenzi wao ni makabila mengine, kwahiyo inawezekana kabisa kabila la kimbulu likapotea kabisa.
Nimesikia kuwa ni kati ya makabila yanayopotea kwa kasi na baada ya miaka kadhaa inaweza isiwepo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom