TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,054
- 3,312
Mmmhhhh
duuh!!huko LEBANONI noma sana acha nikafanye survey
akili una . wale ni mabaharia wazamani na kwasasa wanajishughulisha na kazi za uvuvi .na kama wangekuwa watu wabaya usalama wataifa pare wapo kibao wangewafukuza .na kwa taharifa yako hawanaga tamaa na kisimu chako cha mchina na hivyo viwalo vyako vya kichina . MSHAMBA WEYE
Asante mkuu kwa taarifa hii. Nitakwenda kufanya tour mitaa hiyo nijionee kwa macho unayoyazungumza
dah Yericko rudi basi nipate kukupa feedback ya yalionikuta huko.
Mtu wa kawaida ambaye sio raia halali akiingia kuna usalama??? Je watanizama ama niaje??? Huko lebanoni ya bongo....
Vyombo vya usalama hawaijui hii nchi?
acha ujuaji,hakuna fasihi hapo.Hii fasihi hamkumuelewa Yericko Nyerere
acha ujuaji,hakuna fasihi hapo.
nina ukaribu sana na mleta madaWewe sio mjuaji? Umejuaje kuwa hakuna fasishi hapo?