NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 316
- 364
hiyo Google uliotumia kugoogle imekudanganya,kuna bora sana ambao uwajuiYeah hao ni wa muda wote, top ten
hiyo Google uliotumia kugoogle imekudanganya,kuna bora sana ambao uwajuiYeah hao ni wa muda wote, top ten
Unaweza changia kw vithibitisho na si kwa kuongea tu!hiyo Google uliotumia kugoogle imekudanganya,kuna bora sana ambao uwajui
Hiyo si amir knanUkitaka kujua Hrithik Roshan ni mkali kuliko Amir Khan tazama DHOOM 2 na DHOOM 3.
Amir Khan mkaliUkitaka kujua Hrithik Roshan ni mkali kuliko Amir Khan tazama DHOOM 2 na DHOOM 3.
DHOOM 3 yupo Amir Khan, DHOOM 2 yupo Hrithik Roshan,DHOOM 1 yupo John Abraham
Hapo sawa ila amir Khan nomaDHOOM 3 yupo Amir Khan, DHOOM 2 yupo Hrithik Roshan,DHOOM 1 yupo John Abraham
Unatumia vigezo vipi kuthibitisha hilo?
Mchongo kivp
Indian wana tuzo zao za heshima za mwaka zinaitwa 𝐟𝐢𝐥𝐦 𝐟𝐚𝐢𝐫 𝐚𝐰𝐚𝐫𝐝𝐬 tuzo hizi ni no 1 pale north india na ni za heshima kwa wasanii, anaeongoza kwny tuzo hizo ni mtaalamu SRK akiwa na 8 akifuatiwa na kamal hassan mwenye 5, then ranbir kapoor mwenye 4 huku Hrithik Roshan, Aamir Khan na Amitabh Bacchan wakiwa na 3 wote, Seif Ali Khan akiwa na 2
The same time akshay kumar, Salman Khan, nk wakiwa hawana kabisa
NB: Kichaa Aamir khan alisusia tuzo hizo kwa kusema zina upendeleo na hazina usawa
Hv anaingia vipi srk then kajol asiingie!!???
Hahah!! Unamchuklia poa ranbir kapoor!!??
Hhahah!!! Broh yule jamaa anajua kuigiza acha masihara, labda tu ni kwa sababu kaanza kuwika kipind cha karibuni, then naomba ukaangalie barfi, Rockstar, Yeh jawaan Hai Deewani na Ae dil Hai Mushkil zote za ranbir
Inasemekana kama Hrithik Roshan angetoka kipindi cha SRK basi Hrithik angemgalagaz vibaya Srk maana jamaa ana kipaji kikubwa cha kuigiza than srk,
Narudia tena Hrithik Roshan ni balaa jingin kaka.
Tabu namkubali sana huyu mama kwa jinsi anavyoweza kucheza uhusika wowote kwenye movies kitu anachowazid wanawake wengi Bollywood, Madhuri Dixit siwez sahau uwezo wa huyu mama pamoja na rani mukherjee, nawaelewa sio kuwajua tuu!!
RIP SRIDEV
kiukweli ni mafundi lakini imekuwa changamoto kuingia kwenye ile list ya kufa na kupona
Ulishajiuliza kwa nini DHOOM 4 wamempendekeza Hrithik Roshan au Tiger Shrof na sio Amir Khan?
3 Idiots angecheza Hrithik Roshan ingekuwa kali maradufu.
Thibitishaacha utani kijana.
Aamir Khan ni Hollywood material yule. Ni design ya waigizaji kama Daniel Day Lewis. Anajua kuuvaa uhusika haswa.
SRK ana vitu vyake naye, ila ni pure Bollywood material na nyota yake iko juu sana ila roles zake nyingi, japo sio zote, zina tendency ya kufanana.
Amitabh Bachchan, an angry young man, sina la kusema... anajua sana huyu mzee!
Halafu list yako imeangalia leading actors tu. Kuna character actors wengi wako vizuri tu. Mf. Amrish Puri, Kay Kay Menon.
Kuna Nawazuddin Siddiqui, huyu alianza kama character actor ila amekuja juu kiasi cha kupewa leading acts japo hana connection ya undugu.
Thibitisha
Ndiyo SRK ni namba moja duniani. He is the richest bollywood star na ana followers zaidi ya billion moja duniani kama sikosei. Yeye ni megastar hao wengine bado hawajamfikia.
Pia ana movie yake DDLJ ilikuwa released 1995 lakini mpaka leo inaonyeshwa kwenye theater moja India (imekamata rekodi ya dunia).
Salman Khan yeye ndiye maarufu kwa India akifuatiwa na Amir Khan. Amir Khan yeye amekamata namba moja China tu.
Amir Khan hata Ajay Devgan hamuwezi sembuse Hrithik?linapokuja suala la acting Aamir ni habari nyengine acha kumlinganisha na wakata viuno.
Wewe dhoom 3 amir Khan anakufa na pacha wake unategemea dhoom 4 awemo wakati tayari ameshakufa au ulitegemea kama g.i.joe rise of cobra snake eyes anakufa ila g.i.joe retaliation anaonekana akufa madirector wameona hiwe hivyoUlishajiuliza kwa nini DHOOM 4 wamemendekeza Hrithik Roshan au Tiger Shrof na sio Amir Khan?
Acha masihara yako kakaAmir Khan hata Ajay Devgan hamuwezi sembuse Hrithik?
Ulishajiuliza kwa nini Hrithik anaitwa The Action hero?