Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,958
- 55,054
Hivi mtu unaanzaje kutoa siri za mke/mume wako....?
Mkuu Huyo ni mkeo. Huyo ni mtu unayespend the rest of your life with. Binafsi sioni hata kama unalielewa hilo. Maana kama unamheshimu isingepata idea ya kuomba ushauri humu ukiongezea na nanukuu "nimemkagua sehemu yake ya haja kubwa" i find it hard to belive that u have what it takes to be a husband, rulling out being a father.
mimi sijambagi mie
nitakuchapaHuna kitobo huko nyuma?
nitakuchapa
pengine hufaham maana ya neno siri au unapinga kitu usichokijua. unamfaham ninayemzungumzia ni nani? unafaham mimi ni nani? ungenyamaza mbona usingeonekana hujui? unafaham maana ya kuwa anonymous? humu ni sehemu ambayo kila mtu yupo huru kuongea a place where we dare to speak. hunifaham sikufaham. hilo wewe unaliona kama nimetoa siri ya ndoa? by the way siri unazifahamu? huzifaham. kila jambo linapopitiliza ni tatizo hivyo kwa mtu mwenye akili timamu utataka kujua wenzako wanakumbana nalo? sababu ni nini? kesho na keshokutwa unakuta tatizo ni kubwa unaenda hosp wanakwambia lilianza lini unasema ni miaka 5 imepita .wanakwambia madhara yake ndo haya sasa.
na mtu akishafikia hatua anajamba mbele za watu,kila sehemu anapokuwa bila mashaka unadhani ni suala la siri tena? kila kitu kina kipimo na kama wewe unaona hili ni kutoa siri basi unaonesha una ufaham mdogo sana wa siri na maana ya kuweka mambo kama haya mahali hapa.
Nina mwaka wa nne sasa kwenye ndoa yangu. mimi na mke watu tuna watoto wawili. ila kuna jambo ambalo ashakum si matusi limekuwa likinipa kero sana na kuwa na maswali mengi. mke wangu anapenda kujamba....jamani acheni kabisa. yaani anajamba kwa nguvu zote na kwa kujisikia raha sana.nimejaribu kumwambia kuwa hiyo hali inanipa kero lakini wala haelewi.
na jambo hili halitegemei kala nini awe amekunywa mchemsho au chips atajamba.awe amekula maharagwe au kunde atajamba. awe amekula wali samaki atajamba. si mchana si usiku. ye muda wote ni hali hiyo. nimejaribu kuangalia sehemu yake ya haja kubwa kama pengine inaweza kuwa wazi au... sijapata uthibitisho wowote bado.
lakini nachoshangaa ni kuwa anapotaka kufanya jambo hilo huwa kabisa anajiandaa na kubinua makalio yake huku akikenua meno kana kwamba anafanya jambo la busara,raha na la kustahili sifa.yaani ana enjoy sana hilo jambo. lakini starehe yake kwa wengine ni kero... nisaidieni ana tatizo gani au nimsaidie vipi asiwe anafanya jambo hilo. too much is harmful.
cionii haja ya kuwaa kimyaa aweke gunzi litaziba tyuMnawala tigo huko halafu mnakuja na uzi wa kulalamika eti wife anajamba sana. Kabla ya kumla tigo hio tabia alikuwa nayo?
kwani kujamba ni siri???We utakuwa mvulana bado siri za ndani unaziweka hadharani,shame on u