IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Maranyingi naona watu wanatumia hili neno 'Wahenga' hasa wanapotaka kutumia misemo yenye Busara.
Je Wahenga ni akina Chifu Mangungo au Mkwawa?
Au ni akina Nyerere au Sokoine?
Na kwa nini tusitumie Jina na Mhusika aliyesema maneno hayo, kama tunavyofanya tunapoongelea maneno ya akina Martin Luther King au Gandhi?
Je kwa kama hatuwajui majina yao halisi ina maana hata misemo hiyo pia ni ya kizushi au uongo?
Nifafanulieni tafadhari
Je Wahenga ni akina Chifu Mangungo au Mkwawa?
Au ni akina Nyerere au Sokoine?
Na kwa nini tusitumie Jina na Mhusika aliyesema maneno hayo, kama tunavyofanya tunapoongelea maneno ya akina Martin Luther King au Gandhi?
Je kwa kama hatuwajui majina yao halisi ina maana hata misemo hiyo pia ni ya kizushi au uongo?
Nifafanulieni tafadhari