Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,675
- 40,927
Nakumbuka enzi hizo napoa house moja na msela wangu Mhaya, ilikua balaa..yaani jamaa akinunua maziwa ya mtindi au juice hamalizi yote anaacha kidogo halafu anaweka juu ya kabati la TV au meza ya sebuleni ili mademu wake wakija waone , anaviacha hapo mpaka vinaoza...hehe...wageni wakija lazima aanze matambo yake ya kupiga simu za bai kali..hehe chezea wahaya wewe ni noma..