VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Sasa kama Wahadhiri hao wanafundisha siasa na wanahitaji kutoa mifano kutoka Serikalini wafanyeje? Wawaambie wanafunzi uongo? Mulugo huyu si yule wa Songea Boys.........amebadilika sana,ameisha kabisa.Pole kaka,Mwalimu Mulugo.