Mungu saidia
JK haelewi kinachoendelea yuko kimya. Source mdau niliyeko mhmbili hosp[/QUOTE said:Wale mapapalazi wa TBC wapo wapi wanatakiwa wafike hapo ili kurusha taarifa kama hii???
JK na Serikali yake LEGELEGE hata hawashituki; mtoto wake akiumwa anampeleka nje ya nji.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!!
Punda unaweza ukamlazimisha kwenda mtoni, lakini kunywa maji ni uamuzi wake............PIGA UAc tuliambiwa asubuhi kua madaktari wamerejea kazini kama kawaida???
Mimi ninaunga mkono, lakini ikiwa ni kweli hospitali zimefunga sehemu za dharura, nadhani maadili ya mgomo kwenye sekta ya umma yatakuwa yamekiukwa.Yeah hiyo ndiyo hal i halisi hapa. Leo tumeamua kufunga kabisa hata emergency zote. Sasa majeruhi wakipokelewa wapelekwe wapi? Wakati MOI hakina kazi? Wahudumu Wa afya nao wameingia kwenye mgomo sasa hapo ni mpaka kieleweke.
Kwanini watu wanashabikia mgomo huu? Au ni kwa kuwa ni against serikali ya CCM?