c tuliambiwa asubuhi kua madaktari wamerejea kazini kama kawaida???
Huu ni uongo, nipo Muhimbili na huduma zinaendelea vizuri.
Madaktari wanawajibika kama kawaida.
Wale walioandaliwa iwapo mgomo ungeendelea wameombwa wasubiri kwanza.
Tuwe na ustaarabu wa kuweka ukweli kwenye jamvi.
sitashangaa serikali ikijitokeza na kukataa hizi taarifa
TUGHE muhimbili wametoa tamko leo..na kusema wanaomba tamko la Pinda kuwafukuza madaktari alifute.