Nimefikiria akili za hawa wafuasi wa huyu mtu aliekatwa nimegundua ni kama nyumbu tu wale wa serengeti ambao hufuata mkumbo tu bila hata kujua wanakwenda wapi na kwa nini wavuke mto sehemu ya hatari wakati sehemu salama ya kuvuka ipo
mbona 2010 ccm ilimteuwa kugombea ubunge monduli na rais alipita monduli akamnyanyua mkono kwamba ni jembe?
logically ccm wote ni manyumbu yale ya serengeti,rwaha,mikumi,ngorongoro,na kwingineko