MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Iko siku mtasikia Ikulu imevunjwa na MWEKEZAJI! Haya ndiyo matokeo ya ubinafsishaji na uuzwaji wa rasilmali za nchi kiholela. Itafikia siku tutadaiwa KODI ya kutembea kwa miguu, kwani hata barabara zitakuwa zimeuzwa pia.
Unatarajia nini kwa fisadi, zaidi ya ufisadi?
Ukichagua hovyo, ukatendewa hovyo, usiseme hovyo! - Jenerali Ulimwengu
Unatarajia nini kwa fisadi, zaidi ya ufisadi?
Ukichagua hovyo, ukatendewa hovyo, usiseme hovyo! - Jenerali Ulimwengu