Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 653
Habari wakuu,
Leo nimehitimisha kufanya utafiti wangu binafsi usio rasmi.
Katika research yangu hii nilikua na maswali madogo mawili,
I. Je utampigia kura nani?
II. Kwanini utampigia kura?
Utafiti huu usio rasmi ulihusisha watumishi waserikali tu haswa waalimu na wafanyakazi wa halmashauri.
Siweki graph piechart wala lines ila kwa swali la kwanza asilimia kubwa walijibu watamchagua JP Magufuli.
Kwanini watamchagua Magufuli? Jibu la wengi lilifanana, ni kwamba akiingia Lowasa hawatakua huru ataturudisha 2006/2007.
Swala la sera za chama na maslahi ya taifa havikugusiwa ila ishu kubwa jamaa ni pilipili sana. TAFAKARI CHUKUA HATUA.
# Magufuli 2015
# Lowasa 2015
Leo nimehitimisha kufanya utafiti wangu binafsi usio rasmi.
Katika research yangu hii nilikua na maswali madogo mawili,
I. Je utampigia kura nani?
II. Kwanini utampigia kura?
Utafiti huu usio rasmi ulihusisha watumishi waserikali tu haswa waalimu na wafanyakazi wa halmashauri.
Siweki graph piechart wala lines ila kwa swali la kwanza asilimia kubwa walijibu watamchagua JP Magufuli.
Kwanini watamchagua Magufuli? Jibu la wengi lilifanana, ni kwamba akiingia Lowasa hawatakua huru ataturudisha 2006/2007.
Swala la sera za chama na maslahi ya taifa havikugusiwa ila ishu kubwa jamaa ni pilipili sana. TAFAKARI CHUKUA HATUA.
# Magufuli 2015
# Lowasa 2015