Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,171
- 1,444
Imetokea leo katika uapisho wa viongozi ikulu ya Dar.
Kundi la wafanyabiashara kutoka Zanzibar wamemuunga mkono Rais Samia katika juhudi za kukuza michezo.
Huu ni upendo mkubwa na kudumisha muungano wetu.
Hundi hiyo inakabdhiwa TFF.
Kundi la wafanyabiashara kutoka Zanzibar wamemuunga mkono Rais Samia katika juhudi za kukuza michezo.
Huu ni upendo mkubwa na kudumisha muungano wetu.
Hundi hiyo inakabdhiwa TFF.