Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Kumekuwa na mgogoro kati ya wafanyabiashara na mabenki huko uganda juu ya ongezeko kubwa la riba.wametishia kufunga biashara zao na pia kutoa pesa zao kwenye mabenki hayo.hii ni kutaka kuwaadabisha wenye mabenki waache tabia kujiongezea riba kila kukicha