Wafahamu walinzi wa Papa huko Vatican

Familia, jumuiya, kigango, parokia, jimbo, jimbo kuu. Hivi vyote vipo chini ya askofu mkuu katika kila nchi duniani .Askofu mkuu ana anaitikia kwa papa. Haya ni mawazo yangu.

Sio kweli. Uliza tukuelekeze jinsi utawala wa vatican unavyoongoza. kwa ufupi ni kwamba askofu wote wanaripoti kwa Papa. askofu mkuu au kadinali hana mamlaka yoyote kisheria kuadhibu au kutoa mamuuzi ya papo kwa papo kwa askofu wa jimbo dogo. isipokua yeye atatoa ushauri kwa barozi wa papa au kwa papa mwenyewe na hapo papa ndie mwenye maamuzi. kwa taarifa zaidi balozi wa papa nchini ana mamlaka kuliko askofu mkuu. kwa kiswahili rahisi askofu mkuu ni kama kilanja shuleni hawezi kufukuza mtu wala kutoa adhabu kubwa. source roman catholic incycropidia
 
Ni hivi tangu year 1527 the Swiss Guards have had history with Vatican. During the 1527 sack of Rome when Spanish troops burnt the city and tried to kill Pope Clement VII,the Swiss Guards saved Pope clement.

Pope clement escaped through the secret tunnel that leads into the Vatican's Castel Sant'Angelo fortress, but 146 Swiss Guards protecting him from the rear as he fled massacre.


Although up until the 1980s the role of the Papal Swiss Guards was primarily ceremonial yet, after Pope John Paul II’s assassination attempt, this was severely revised to include modern combat training; and a higher priority was given to the guards’ ability to actually defend the Pope, his Home and the Vatican in general.

About the Swiss Guards credentials…it's very true.
The Swiss Guard must be a Swiss national, Catholic, unmarried, between the ages of 19 and 30, have undergone rigorous Swiss military training and be at least 174 cm tall. Once accepted, the terms of service can be as short as 2 years, and as long as 25. Now that’s devotion!


Remember when the Turkish gunman Mehmet Ali Agca shot the pope in front of the crowd in St Peter's Square in 1981, a Swiss Guard in plain clothes jumped on the wounded pontiff to shield him from further attacks.
 
Wanatumia ndogo ndogo za kisasa na kienyeji..........maana yake nini hii MeinKempf............?.....
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani........Kwani hapo ulipoquote pameandikwaje........?......

Nahisi kama macho yangu leo yana matatizo vile baada ya kukuona kwenye hii thread,kwani mimi naona jina lako linasomeka Pretty!
 
Back
Top Bottom