Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,991
- 156,274
Wajanja tulikuwa hatuibi picha, tunaiba negative tunaenda ku print magenta. Light magenta au neutral na natural.
Maudhui ni album na TV zamaniKumbukumbu nzuri enzi hizo mpira wa makaratasi sodo anayo mtu mmoja, huyo uwanjani hamtakiwi kumkanyaga na yeye ndio anapanga nani acheze au asicheze na mkimkanyaga mpira anaweka kwapani na mchezo unaishia hapo, au ilikua lazima mkamsaidie kazi kama kuteka maji au kuosha vyombo ili muwahi kwenda kucheza
Yaan utaona Uzi unabadilikia hewan sasa hivi tabia inakera sana hii kwnn MTU asianzishe Uzi wake wa nireeten gwajima na tulia inakera sana mkuuJamani tuacheni tupumue!
Uzi una mambo ya zamani tunajikumbusha mnauharibu kwa ulimbukeni wenu!
Hahahahaaaa noma sana mkuu. Ukitaka kuiangalia "nega" unaielekeza kwenye mwaga wa jua hivi aisee...Enzi hizo picha inapigwa inatoka na nega.
We umezaliwa elf mbili na ngp?? Maana huyo nwrique naye kijana tunakumbuka mzee alikua na video tapes za enrique iglesias kulikua na videos kama bilamooooooos, sad eyes, maria maria za kina santana,kina britney spears, mzee alikua anamkubali sana enrique mpaka akaniambukiza na mimi! kipindi hicho pierce bosnan ndo alikua james bond!!!!! mpaka leo hii hizo ngona naskiliza! i realy miss me
Picha zangu enzi hizo lazima niweke doleUmejuaje nawe ni wa jana, pembeni unawekewa soda ya Fanta,au zile juice za kudilute chemicola
Nlikuwa na kikamera unachomeka picha unangalia hku unabonyeza picha zinasogeaHahahahaaaa noma sana mkuu. Ukitaka kuiangalia "nega" unaielekeza kwenye mwaga wa jua hivi aisee...
Hakuna kitu nachoki miss kama drive in sinema pia enzi hizoMaudhui ni album na TV zamani
Primitive Thinking.Yale ndio yalikuwa maisha halisi.
Haya ya sasahivi ni fake.
UshambaNireteeni Gwajima
Nireteeni Tulia, Nitatulia
Huyu Daniel Hajui Kujiereza Ni Darasa ra Saba
Ila Kwenye Matatizo Yenu Atawatetea Kule Bungeni