Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,417
- 11,081
Wasalaam nyote,
Ushiriki wa watu wa afya unahitajika sana hapa.
Kutokana wimbi kubwa la pisi kali kuzagaa mitaani, majumbani na sehemu za kula bata, na wimbi la sisi wanaume kutaka kufaidi na kuendelea kufaidi ulaji wa shoo kavukavu kwa kusingizia kuzidiwa.
Basi ni vema walau tuambiane dawa kiboko za kutibu UTI, Gono, Kaswende na matakataka yote. Asikwambie mtu mademu karibia 85% wanauza au wanachepuka na wanaume angalau wa3 Kwa wanandoa na 5-10 kwa wasio na ndoa.
Tathmini yangu ndogo hakika nawaambia kitaa kumechafukwa sana karoti hali mbaya na vitumbua hali mbaya sana.
Siku za jumatatu hadi ijumaa kwanzia saa8 ucku unapata pisi utakayo maeneo mengi ya tz kwa dau la chini ya elfu50 kulala na sio chini ya bao 2, hii ni kwenye manispaa, Jiji na halmashauri center.
Sex mtambuka imekithiri ndugu wataalamu wa afya chonde chonde share dawa madhubuti za kutibu hizo gonjwa za zinaa mtaani kumeoza.
Japo kupaka mafuta kunasaidia ila sio kwa muda wote hasa mafuta mgando. Azuma itakusaidia ukiitumia bila kusubiria dalili siku ya kwanza kuona ladha ya utokaji wa mkojo pita na Azuma na haipaswi kuwa ni mazoea. Mwanaume makini at least after three months ndio uone dalili ya UTI kwa mbali na uitibie kwa lishe sio kujidunga madawa.
Karibu kwa vijembe na kila ushauri na wale wa mzaha mzaha najua mpo pia uwanja ni wetu sote.
Shukrani na karibuni nyote
Wadiz
Ushiriki wa watu wa afya unahitajika sana hapa.
Kutokana wimbi kubwa la pisi kali kuzagaa mitaani, majumbani na sehemu za kula bata, na wimbi la sisi wanaume kutaka kufaidi na kuendelea kufaidi ulaji wa shoo kavukavu kwa kusingizia kuzidiwa.
Basi ni vema walau tuambiane dawa kiboko za kutibu UTI, Gono, Kaswende na matakataka yote. Asikwambie mtu mademu karibia 85% wanauza au wanachepuka na wanaume angalau wa3 Kwa wanandoa na 5-10 kwa wasio na ndoa.
Tathmini yangu ndogo hakika nawaambia kitaa kumechafukwa sana karoti hali mbaya na vitumbua hali mbaya sana.
Siku za jumatatu hadi ijumaa kwanzia saa8 ucku unapata pisi utakayo maeneo mengi ya tz kwa dau la chini ya elfu50 kulala na sio chini ya bao 2, hii ni kwenye manispaa, Jiji na halmashauri center.
Sex mtambuka imekithiri ndugu wataalamu wa afya chonde chonde share dawa madhubuti za kutibu hizo gonjwa za zinaa mtaani kumeoza.
Japo kupaka mafuta kunasaidia ila sio kwa muda wote hasa mafuta mgando. Azuma itakusaidia ukiitumia bila kusubiria dalili siku ya kwanza kuona ladha ya utokaji wa mkojo pita na Azuma na haipaswi kuwa ni mazoea. Mwanaume makini at least after three months ndio uone dalili ya UTI kwa mbali na uitibie kwa lishe sio kujidunga madawa.
Karibu kwa vijembe na kila ushauri na wale wa mzaha mzaha najua mpo pia uwanja ni wetu sote.
Shukrani na karibuni nyote
Wadiz