Kwa upande wangu ningekuwa ktk wkt mzur zaid kukuchagulia Jina kama ningejua japo kidogo tu aina ya project unayofikiria kufanya. Ht hivyo namba 1
hakuna anaeweza mweenyewe, tuache uongoYote sikuyapenda.
Ila nakushauri tumia jina hili.
Mwenyewe utaweza.
Hii ni kwa sababu watatumia mawazo yao kujikwua kupitia usaidizi wako.
Hongera kwa fikra pevu ndugu yangu,"TWAWEZA" naona litafaa kwa project yako.MUNGU akutangulie.
kusaidia vijana kujiendeleza kwa fani mbalimbali ili waweze kujipatia kipato