shadrackAmri
Member
- Oct 27, 2023
- 5
- 3,144
wakuu kila sehemu ninayofika mademu wanachanganyikiwa hasa wale warembo sana
yani unakuta kama nimeenda sehemu kupata huduma mademu wote wahilo eneo wanaojihisi niwarembo hasa wanajipitisha mbeleyangu
hatamke wangu nimempata kwastail hiohio sikumtongoza Wala nini
nakumbuka nilienda supermarket moja hivi hapa masaki nilivyoshuka tuu kwenye gari naona toto moja langi yamtume linanikimbilia
asee nilistuka mtoto mzuri ananifata mimi au kunamwingine?nageuka nyumayangu hakuna mwingine mtoto akanisalimia pale nakuniomba msamaha kwingi kwakunisumbua nikamwambia usijali Wala hunisumbui
akaanza kujiumauma pale nikagundua anachotaka nikamuuliza umeolewa akajibu hapana nikamwambia namimi sijaoa
alifurahi sana nikachukua nambayake jioni nikamtania tania pale hukunakule nikampigia video call nikajirizisha nimoto mwenye adabu namrembo wandani kabisa bila mekap wala nini😁😁nahisi mabaharia mumenielewa hapa
basi ndio nikapata mke kwastail hio
lakini hii hali inanikera kwasasa ukishuka kwenyegari inabidi nisiangalie pembeni😁nikiangaliatu unashangaa demu anakuita ukimfata chamaana hana zaidi yakusifia tuu uhandsome wangu
hiihali hata mkewangu inamtesa mana hata nikiwa nae wanasumbua tuu.tukishuka kwenyegari utasikia wanawake wenzake wanamtania "mkemwenza mambo"
kiukweli anacheka nakuwajibu kinafiki ila tukirudi nyumbani naulizwa maswali kibao na nikimjibu kuwa siwajui ndio anakasirika zaidi
wadau nifanyeje? hiihali inanichosha
yani unakuta kama nimeenda sehemu kupata huduma mademu wote wahilo eneo wanaojihisi niwarembo hasa wanajipitisha mbeleyangu
hatamke wangu nimempata kwastail hiohio sikumtongoza Wala nini
nakumbuka nilienda supermarket moja hivi hapa masaki nilivyoshuka tuu kwenye gari naona toto moja langi yamtume linanikimbilia
asee nilistuka mtoto mzuri ananifata mimi au kunamwingine?nageuka nyumayangu hakuna mwingine mtoto akanisalimia pale nakuniomba msamaha kwingi kwakunisumbua nikamwambia usijali Wala hunisumbui
akaanza kujiumauma pale nikagundua anachotaka nikamuuliza umeolewa akajibu hapana nikamwambia namimi sijaoa
alifurahi sana nikachukua nambayake jioni nikamtania tania pale hukunakule nikampigia video call nikajirizisha nimoto mwenye adabu namrembo wandani kabisa bila mekap wala nini😁😁nahisi mabaharia mumenielewa hapa
basi ndio nikapata mke kwastail hio
lakini hii hali inanikera kwasasa ukishuka kwenyegari inabidi nisiangalie pembeni😁nikiangaliatu unashangaa demu anakuita ukimfata chamaana hana zaidi yakusifia tuu uhandsome wangu
hiihali hata mkewangu inamtesa mana hata nikiwa nae wanasumbua tuu.tukishuka kwenyegari utasikia wanawake wenzake wanamtania "mkemwenza mambo"
kiukweli anacheka nakuwajibu kinafiki ila tukirudi nyumbani naulizwa maswali kibao na nikimjibu kuwa siwajui ndio anakasirika zaidi
wadau nifanyeje? hiihali inanichosha