nimeskia tetesi za hapa na pale ooo ijumaa ijumaaa hivi ni nani ana jukumu la kulinda amani na je Katiba inasemaje kuhusu iliii. je ni polisi, jeshi au wananchi
Kila mwananchi wa nchi hii ana jukumu la moja kwa moja kulinda usalama wa Tanzania, akianza na kujichunga mwenyewe dhidi ya vitendo vitakavyo vuruga amani ya wote.......!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.