Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 406
- 567
Habari za humu wadau,
Poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kwa sasa nipo Dar ombi langu kubwa kwenu ni kunipa msaada wa mawazo kwakuwa naomba kazi au kwa mwenye connection ya kazi yeyote ya halali niweze kujikimu kimaisha maana hapa nilipo nipo kwa ndugu tu sina hili wala lile,
ELIMU: uongozi na usimamizi (UDOM UNIVER)
pia taaluma ya COMPUTER APPLICATION,
Naombeni connection ndugu zangu watanzania
PIA SAMAHANI KWA MWANDIKO MBAYA SIMU NINAYOTUMIA INA CRACK MNO KWENYE SCREEN.
Poleni na majukumu, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 kwa sasa nipo Dar ombi langu kubwa kwenu ni kunipa msaada wa mawazo kwakuwa naomba kazi au kwa mwenye connection ya kazi yeyote ya halali niweze kujikimu kimaisha maana hapa nilipo nipo kwa ndugu tu sina hili wala lile,
ELIMU: uongozi na usimamizi (UDOM UNIVER)
pia taaluma ya COMPUTER APPLICATION,
Naombeni connection ndugu zangu watanzania
PIA SAMAHANI KWA MWANDIKO MBAYA SIMU NINAYOTUMIA INA CRACK MNO KWENYE SCREEN.