WaliNazi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 851
- 96
....kawasihi "WAISLAM watulie"....
Kama thnker mdogo... Kauli hii nimeidadavua hivi
1. Ni Uislam ndo waleta fujo ZNZ.
2. Ni Waislam wa ZNZ ndo wanafanya fujo.
3. Hata bara Waislam wapo.. So?
....niachane na hayo ila mi naona jamaa kakosea.
Mchango wenu utanirekebisha..
Kama thnker mdogo... Kauli hii nimeidadavua hivi
1. Ni Uislam ndo waleta fujo ZNZ.
2. Ni Waislam wa ZNZ ndo wanafanya fujo.
3. Hata bara Waislam wapo.. So?
....niachane na hayo ila mi naona jamaa kakosea.
Mchango wenu utanirekebisha..