wadada wenzangu naombeni msaada

huyo hutampata for your information my sister trust me....

Wengi siku hizi wanaangalia kipato ukiwa nacho wewewe acha mchezo watapishana hao...................
kwa iyo nifanyeje?
 
Sister smile pole sana, but funguka tu ingawa kiukweli hakuna mwanaume asiye cheat, mi sijawai kuona but anakikupenda kweli atakueshimu na huwezi kujua hata siku moja kama anacheat hadi mnafanya anniversary ya 40 years , so funguka tu dada but mwanaume wa peke yako hayupo dunian, so funguka jiachie marriage will come automaticaly
 
sister smile pole sana, but funguka tu ingawa kiukweli hakuna mwanaume asiye cheat, mi sijawai kuona but anakikupenda kweli atakueshimu na huwezi kujua hata siku moja kama anacheat hadi mnafanya anniversary ya 40 years , so funguka tu dada but mwanaume wa peke yako hayupo dunian, so funguka jiachie marriage will come automaticaly
kwa nini wanaume mpo too demanding jamani? Hamuwezi kuwa simple ?
 
kwa iyo nifanyeje?

Subiria aje yule uliyeandaliwa na Mungu lakini wazo la wa kwano peke yako futa akilini mwako kabisa...............

HUTAMPATA KAMWE................Hapa ni kujipa moyo na kujifariji tu kuwa huyu ni wangu peke yangu of which is not true at all right????

Hapa cha msingi ni heshima na uaminifu ndo utawale akacheat zake hukoooo ila arudi salama salimini lakini eti kujidanganya uko peke yako hiyo imekula kwako and you are wasting your time my dear.........................
 
Subiria aje yule uliyeandaliwa na Mungu lakini wazo la wa kwano peke yako futa akilini mwako kabisa...............

HUTAMPATA KAMWE................Hapa ni kujipa moyo na kujifariji tu kuwa huyu ni wangu peke yangu of which is not true at all right????

Hapa cha msingi ni heshima na uaminifu ndo utawale akacheat zake hukoooo ila arudi salama salimini lakini eti kujidanganya uko peke yako hiyo imekula kwako and you are wasting your time my dear.........................

Kwahiyo yupo 'aliyeandaliwa na Mungu' kuwa wa Smile pamoja na wengine wengine? Hivyo Mungu anaandalia watu wazinifu?
 
mpigie magoti mwenyezi Mungu ili akuonyeshe mwenzi mwema lasivyo utakomea kugongwa tu. Na usiwe mwepesi wa kuvua chupi kwa mwanaume kwani mwanaume laghai daima hukimbilia kumvua chupi msichana, take kare dada angu dunia hii ni nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wengi siku hizi wanaangalia kipato ukiwa nacho wewewe acha mchezo watapishana hao...................

duuh kuna sister fulani hivi shost wangu naona kwa style hii atawabeba kwa mafungu..... au atakuwa na msusuru mrefu wa kuchagua kama karanga.
 
ngoja nikwambie smile.. hawa wakaka unaenda nao taratibu, tena from the first day unatoka naye mweleze mipango yako ya baadae na mwambie kabisa kuwa ngono kwako ni kitu cha mwisho kufanya u are keeping it for your future hubby so kama atakuwa ni yeye its ok. hapo ajipime mwenyewe kama ataingia au vipi.

pia angalia watu wa kudate nao , toka na watu ambao tayari wanaanza kuwa na mawazo ya kimaisha siyo kajivulana kametoka chuo tu ambako hata future hajui anawaza tu kwenda club a kwenye shows basi. angalia mtu amabaye amepevuka na nirahisi kumuona siku ya kwanza tu.

Good piece of advice, hope Smile takes this seriously! Kusema kweli wadada wengi wanabugi step hapo kwenye red! Asante gfsonwin, umenisaidia kusema nilichotaka kumshauri Smile. Take this as point number one, ila bado point zingine mbilin, ngoja nione kama wadau wengine wamezisema kwani naendelea kusoma comments
 
Good piece of advice, hope Smile takes this seriously! Kusema kweli wadada wengi wanabugi step hapo kwenye red! Asante gfsonwin, umenisaidia kusema nilichotaka kumshauri Smile. Take this as point number one, ila bado point zingine mbilin, ngoja nione kama wadau wengine wamezisema kwani naendelea kusoma comments
thax mito
 
We mrembo achana na mawazo ya kuolewa..........

siku hizi hakuna mwanaume wa kwako peke yako kubali ukatae
habari ndo hiyo....................

Mi sikubaliani na wewe Dena Amsi, wapo tena wengi tu, tatizo ni namna ya kuwajua kwani mara nyingi huwa hawana physical qualifications zenu mnazozipenda. Tena hii ndo sababu kubwa mnashindwa kuwajua kwani mara nyingi mnawa-disqualify hata kabla hawajaku-approach. Jana kuna mdau mmoja (simkumbuki jina) alimshauri Smile apunguze vigezo (awe na 70% ya vigezo vyako at maximum, zaidi ya hapo unatafuta pressure nyingine) - honestly, that was good piace of advice as well, so add to your diary that point as number two.

Unajua sisi wanaume (tulio wengi) tunajua kabisa kuwa, huyu ni mwanamke wa kutembea naye tu, lakini huyu ni mwanamke wa kuoa kabisa (wenyewe wanaita wife material, sijui kama nimekosea!). Sasa kwanini nyie mnashindwa kutujua sisi ktk context hiyo hiyo? Au ndo ule usemi kwamba wanawake wanapenda kwa moyo, lakini wanaume wanapenda kwa akili.
 
Sister smile pole sana, but funguka tu ingawa kiukweli hakuna mwanaume asiye cheat, mi sijawai kuona but anakikupenda kweli atakueshimu na huwezi kujua hata siku moja kama anacheat hadi mnafanya anniversary ya 40 years , so funguka tu dada but mwanaume wa peke yako hayupo dunian, so funguka jiachie marriage will come automaticaly

Hapo kwenye red sikubaliani na wewe mkuu, Wapo tena wengi tuu!
 
mpigie magoti mwenyezi Mungu ili akuonyeshe mwenzi mwema lasivyo utakomea kugongwa tu. Na usiwe mwepesi wa kuvua chupi kwa mwanaume kwani mwanaume laghai daima hukimbilia kumvua chupi msichana, take kare dada angu dunia hii ni nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Smile, kama alivyosema mashini, this (in red) needs to be in your diary as well. Ila ktk hili kuna challenges zake, tena kubwa tu. Moja, ni kwamba lazima wewe mwenyewe kwanza uwe mcha Mungu hasa (I can guess how difficult this can be to you!). Pili, ukubali kumwachia Mungu akuamulie kwa vigezo vyake mwenyewe, yaani we ni kumwambia tu kwamba "Mungu naomba unipe mwanaume utakayeona ananifaa". Practically, it sounds awkward, but has worked to those who believe in God, na ndoa zao ni imara kweli kweli.
 
hivi unatafutaje mwanaume anayekupenda, wanakuwa na character zipi hawa wenye upendo wa dhati

Marrykate, hapo kwa red ningependa pasomeke "hivi unampata wapi mwenzi bora". Ili kujibu swali hili, nitatoa mfano mmoja halisi ambao ni very common ktk maisha yetu ya kibongo ila akinadada wengi huwa hawautilii maanani. Utakuta wavulana kwa wasichana, wanaume kwa wanawake (hapa nafocus kwa wale single) wanaenda kwenye sehemu mbalimbali za starehe kula maisha, especially during the weekends, xmas, mwaka mpya, easter n.k. Wenyewe wanadai wanaenda kula maisha! Kuna ambao wanaenda na wapenzi wao (lakini hawajaoana), lakini pia kuna ambao wanaenda kuanzisha mahusiano huko ktk maeneo hayo ya starehe . Cha ajabu ikifika muda wa kuoa, utasikia mvulana/mwanaume anamwacha yule aliyekuwa anaenda naye kwenye starehe, anatafuta mwanamke mwingine. Ukimuuliza kulikoni, anakwambia, ah bana natafuta aliyetulia! si unajua tena sasa hivi nataka kuanza kuwa na familia! Siwafiki kinadada, wanaume wengi wako very cautious na mwanamke anayependa starehe au aliyekutana naye kwenye starehe. Wengi wanaamini mwanamke uliyempata kwenye starehe si mke bora wa kukaa na watoto. Ni heri waliokutana sehemu nyingine, wakaoana kwanza halafu ndipo waende pamoja huko kwenye starehe. Nachojaribu kushauri hapa ni kwamba wanaume wengi wanajua wapi pa kupata mke wa kuoa lakini akinadada wengi hawajui wapi pa kupata mwanaume bora, utakuta mdada anajiendea tu kila mahali - kwa bar yupo, kwa disco ndo usiseme dah!. Smile believe me or not, type ya mwanaume atakayekufaa wewe (lakini si kwa physical outlook, ila asiwe mzinzi na akupende kwa dhati) huwezi kumpata ktk sehemu za starehe. Kwanza haendi huko, hivyo huwezi kukutana naye maeneo hayo, pili kujua hadi uzingatie zile point nyingine tatu ulizoandika!
Nimalizie, kuna dada mmoja (mzuri tu) alikuwa anatamani kuolea na mwanajeshi kwa vile ana rafiki yake ameolewa na mwanajeshi na wanaishi vizuri sana ktk ndoa yao. Walikuwa wanaishi Kunduchi ktk kambi ya jeshi. Kwahiyo hicho ndo kikawa kilio chake kila akienda kumsalimia huyo rafiki yake wa kunduchi anayeolea na mjeshi. Siku moja rafiki yake akamwambia hivi, kama unataka kuolea na mjeshi basi njoo ukae kwangu kwa muda ili wanajeshi waweze kukuona maana huko uswazi utaonana nao wapi? Hope you get where I'm heading to .....
 
kwa nini wanaume mpo too demanding jamani? Hamuwezi kuwa simple ?

Jiachie tu punguza vigezo vyako na usiwe na mawazo ya kuwa wanaume wote wana chit.Kikubwa ni tabia yako wanaume wengi waoaji huvutiwa na tabia ya ukarimu,upendo,roho nzuri.uchangamfu usiwe mtu wa kununanuna tu.na tabia nzuri nyinginezo.Mi ushauri wangu kwako jaribu kuiangalia tabia yako kama ìnafaa jaribu kuwa mnyenyekevu kwa watu sijawahi kukuona lakini nimekusoma tu kwa post zako you are too harsh toward people especial men nadhani watakuwa wameku affect kisaikolojia hili litakuponza angalia mwenendo wako acha kulaumu tu wanaume
 
Hapo kwenye red sikubaliani na wewe mkuu, Wapo tena wengi tuu!

Tatizo mabinti wanapenda mwanaume mwenye kazi nzuri, elimu nzuri yaani inshort maisha mazuri, na asilimia kubwa wenye hivyo vigezo wanakuwa players as they get girls easily, wakati nipo sekondari feza boys most of my classmate walikuwa wanatoka familia bora so toka enzi za shule wao ni kuchanganya tu dadas wa jangwan and zanak and due to their parents hata baada ya shule walienda vyuo abroad and then nice jobs so wanavypendwa na girls hadi nashangaa wakati wengine wanajulikana kabisa wahuni,

Kiukweli a real man ni mtu anayejua maisha ni nini, but hao wanaowapenda kwa vigezo vyao hawawezi kutulia as hawajui maisha nini na hela wanazopata kazin ni za kuhonga tu as their parents washawaandalia maisha,

Wadada inapendeza mkichunguza background za watu kwanza and kushusha vigezo, mtapata real man but hao wakina twisa they takes life as fun and they play with girls the same way they play with their playstations during their childhood but cha kushangaza wanapendwa balaa
 
Am a man ni pm mm uone ni jinsi gani nitaku handle na kusahau yote kama upo serious lakini
 
utaongea mengiiiiii but remember your fear is ur greatest enemy.if u don fully trust mpenzi wako you will never experience true love.love is bout taking risks
 
Back
Top Bottom