kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,308
- 2,070
Yes.
Kuanzia whatsapp status, instagram videos, tiktok na mitandao kibao wadada wamekua mstari wa mbele kutumia mziki wa bongo kwenye post zao.
Hii imekuza sana mziki wetu. Unakuta mdada gadem super kisu, lemtindiz and ameumbika. You know (RIP Lemutuz) kapost status ikisindikizwa na Bongo fleva.
Wadada wa kibongo pokeeni maua yenu. Mchango wenu unaonekana.
Kuanzia whatsapp status, instagram videos, tiktok na mitandao kibao wadada wamekua mstari wa mbele kutumia mziki wa bongo kwenye post zao.
Hii imekuza sana mziki wetu. Unakuta mdada gadem super kisu, lemtindiz and ameumbika. You know (RIP Lemutuz) kapost status ikisindikizwa na Bongo fleva.
Wadada wa kibongo pokeeni maua yenu. Mchango wenu unaonekana.