King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Mke mwenza, siku PAW wangu anapata uprezidaa na mie naukwaa u-first lady, wewe utakuwa mshauri wangu wa uchumi wa mavazi na vipodozi.
Aweke na riba kabisa!
Aweke na riba kabisa!
Weeh! Mkulima haogopi shamba banaa! Unalima unapoweza, kwingine unakodisha watu, eboooo!
We! Wengi humu tuko under 18...Wengi wao ni mabonge halafu age imeenda vp utawaweza?
Upo King'ast sikupimii ulivyo kifaa cha ukweli
We! Wengi humu tuko under 18...
Lol...mke mwenza naona zali limeniangukia asubuh, asubuh. Ngoja nisave hii quote yako kwa matumizi ya baadae!Mke mwenza, siku PAW wangu anapata uprezidaa na mie naukwaa u-first lady, wewe utakuwa mshauri wangu wa uchumi wa mavazi na vipodozi.
Nmejaa tele! Kama tape measure yako haitoshi kupimia, kuwa mpole tu best!
Mi yakwangu nadhani inazidi kipimo
Hivi siku zinavyokwenda miaka yako inapungua eeh?We! Wengi humu tuko under 18...
Mie niko hapa nje kwenu sikuoni...au nizunguke huko uani?Basi njoo tucheze kiduku SL
Ha ha ha!...jamani mie niko form twoB hivi wazani ntakuwa na miaka mingapi bht?Hivi siku zinavyokwenda miaka yako inapungua eeh?
Lol...mke mwenza naona zali limeniangukia asubuh, asubuh. Ngoja nisave hii quote yako kwa matumizi ya baadae!
Hydom.King'ast PAW angombea urais wa jimbo gani?....lol!
Hehehe! Asipofaa The Boss wasiliana na bht, nae ni mtaalam sana wa mkorogo, wake huwa anau blend kabisaaa!Save mama! Wifi atakuwa mshauri wa viatu, mkwe atakuwa mshauri wa kope na mawigi na kucha za bandia, natafuta wa mkorogo ila nahisi The Boss atafaa kwa hili.
Mie niko hapa nje kwenu sikuoni...au nizunguke huko uani?
Sweet 16...Ha ha ha!...jamani mie niko form twoB hivi wazani ntakuwa na miaka mingapi bht?
Hahahaaa nitafutie tenda ikulu ya Hydom ntakupa 10 %Hehehe! Asipofaa The Boss wasiliana na bht, nae ni mtaalam sana wa mkorogo, wake huwa anau blend kabisaaa!
Hydom.