sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Khaaa! Nimegonga kaja kufungua bimkubwa, nimemwambia nimekuja kukupitia twende tuition manake anaonekana mkali huyo!Gonga mlango wa mbele hapo nakukuja kukufungulia
Khaaa! Nimegonga kaja kufungua bimkubwa, nimemwambia nimekuja kukupitia twende tuition manake anaonekana mkali huyo!Gonga mlango wa mbele hapo nakukuja kukufungulia
Nmejaa tele! Kama tape measure yako haitoshi kupimia, kuwa mpole tu best!
We! Wengi humu tuko under 18...
Hahahaaa nitafutie tenda ikulu ya Hydom ntakupa 10 %
Mr. Ndo mkorogaji mashuhuri hapa mjini ujue na mafuta ya transfoma tunayachukua direct toka taesko yakiwq safi.
Gonga mlango wa mbele hapo nakukuja kukufungulia
Huoni nnavokazana kupiga kampeni kwa mke mwenza?...ila mkorogo wa King'asti jiki lazima iwe kwa wingi ili firstlady to be ang'ae upesi...Hahahaaa nitafutie tenda ikulu ya Hydom ntakupa 10 %
Mr. Ndo mkorogaji mashuhuri hapa mjini ujue na mafuta ya transfoma tunayachukua direct toka taesko yakiwq safi.
Wifi King' kaka Paw hajambo?
Sweet Wifi kaka Cookie hajambo?
Mimi nimepita tu hapa.... Nilitaka tu mrusha uzi ajue kua kuna Paw na Cookie.... Watching....:lol:
Khaaa! Nimegonga kaja kufungua bimkubwa, nimemwambia nimekuja kukupitia twende tuition manake anaonekana mkali huyo!
Wifi mie sijambo ila kakako sina habari zake manake nimemnunia...mwaka mpya hakuniletea viatu vipya...Wifi King' kaka Paw hajambo?
Sweet Wifi kaka Cookie hajambo?
Mimi nimepita tu hapa.... Nilitaka tu mrusha uzi ajue kua kuna Paw na Cookie.... Watching....:lol:
Nitonye hio avatar ulimuwekea king' nini? Maaana huchanganikiwa kabisa akiona mkaka mwenye weusi kama wako! lol
Nitonye hio avatar ulimuwekea king' nini? Maaana huchanganikiwa kabisa akiona mkaka mwenye weusi kama wako! lol
Na uhakikishe wifi angu na mke mwenzangu hawasomi hapa manake ntakuta makapu ya talaka mlangoni... Unamwagaje mchele kwenye kuku wengi hivi?Leo kaniambia nikauze karanga pale sokoni tutakutana pale pa siku zote
Unamjua PAW au unamsikia? Kama una hamu ya life ban test zali uone.Kweli!! Basi ngoja nitatest zari
Na uhakikishe wifi angu na mke mwenzangu hawasomi hapa manake ntakuta makapu ya talaka mlangoni... Unamwagaje mchele kwenye kuku wengi hivi?
Unamjua PAW au unamsikia? Kama una hamu ya life ban test zali uone.
Hahahaaa mwanamke jocho bibi eeh, haloo, hasa ukijua kulitumia.....Tenda zote lazma zipitie kwangu, usijali. Ila inabidi uwe unakuja na vazi kama la AshaDii na uvae sunglasses kuficha hiyo mimacho yako kama gololi!
Wifi moenzi, huu wivu wako naupenda sana,kha! Kakako hajambo ila ntakuja unigawie ile dawa ya kukoroma manake hadi saa hizi bado anakoroma tu! Miss u, ntakuja ule mtaa wa jana tuongee...
Wifi taratibuuuu! Unamjua kakako alivyo, atalambisha ban hapa hadi invisible!
Na uhakikishe wifi angu na mke mwenzangu hawasomi hapa manake ntakuta makapu ya talaka mlangoni... Unamwagaje mchele kwenye kuku wengi hivi?
Wifi mie sijambo ila kakako sina habari zake manake nimemnunia...mwaka mpya hakuniletea viatu vipya...
Kweli!! Basi ngoja nitatest zari
Afu unamnunia shem, unaenda kwa nitonye ili akutonye! Nitonye mwenyewe ni toinyo tu,kha!