Wanajamii nimezungukaaaaa na kutumika sanaaaaa sasa naamua kutulia. tatizo langu ni wadada waliotulia wanapatikana wapi?
Wanajamii nimezungukaaaaa na kutumika sanaaaaa sasa naamua kutulia. tatizo langu ni wadada waliotulia wanapatikana wapi?
Wanajamii nimezungukaaaaa na kutumika sanaaaaa sasa naamua kutulia. tatizo langu ni wadada waliotulia wanapatikana wapi?
Ndugu waliotulia walishapanda usafiri wa kaburi na kwa sasa wapo mbinguni, hapa duniani tulipo ni sehemu ya changamoto, misukosuko, matatizo, makasheshe n.k. ambayo sisi sote tunatakiwa kukumbana nayo na kuyatafutia suluhu; na pale ambapo suluhu inapatikana ndipo tunafurahia matunda japo hata ni kwa muda fulani tu. Hata hao ambao wanaweza kuwa wanafikiria kuwa wamewapata waliotulia huenda ni kwa sababu siyo rahisi kubaini vile vyote avitendavyo mwenzi wako, na laiti kungekuwa na uwezekano wa kubainika, basi wangejikuta wanahukumu kuwa hajatulia; na ndiyo maana kuna wakati unasikia kwnye mahusiano mtu anakuja kusema -SIKUTEGEMEA KAMA UKO HIVYO-. Cha msingi katika mahusiano ni uwepo wa staha/uvumilivu na kusameheana ndiko haswa kunafanya kuwa na mwonekano wa kwamba fulani amempata aliyetulia. Vinginevyo kidume na wewe kwea usafiri uende huko kwenye utulivu, Mbinguniiii kwa Baba
Wanajamii nimezungukaaaaa na kutumika sanaaaaa sasa naamua kutulia. tatizo langu ni wadada waliotulia wanapatikana wapi?