grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Mkuu Facilitator mimi pia napenda sana michango yenye uzito toka kwako na huwa nafuatilia sana, kama ile uliyotoa kule kwenye hoja "Ni kweli yametokea", wengine wanavamia lakini wewe unazama kilindini ukiibuka unakuja na kitu. Tupo pamoja mkuu.Aisee, wewe unaangalia kwa mtazamo tofauti kabisa. Nimependa opinion yako