Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Ndoa ziwe za wenye mimba au la..ni ishu ya wahusika na Mungu wao.Hao wanaoshangaa kitendo hicho, ina maana wao wako na haki asilimia 100? Utakuta wao ndio wa kwanza kuzini na kushiriki utoaji mimba mradi waonekane kwa nje kuwa hawana dhambi kwa vile matumbo yako flat!
ACHENI HIZO....MNA DHAMBI KUBWA ZAIDI YA KUPATA MIMBA NA KUFUNGA NDOA!
Ujue dada Veracity dhambi ni dhambi mbele za Mungu, hakuna dhambi kubwa wala ndogo. Kinachohitajika kwa watu hawa ni kitubio kabla ya ndoa, mimi kama RC najua kuna kipengele cha kitubio kabla ya ndoa.