Kama unakimbilia hilo la kupigwa mawe na hili chini
maana mshahara wa dhambi ni """mauti""""' inakuwaje hiyo??
Unajua tatizo tunalolalamikia hapa ni si haki kufungisha ndoa za wenye mimba na wasio na mimba at the same tyme lazima tuwaheshimu hawa wanaokuja kanisani hawajakutana kimwili......ukisoma kwenye biblia
Ninamaanisha hata wale wanaoenda kanisani kufunga ndoa wakati wameshakutana kimwili kabla bila kujali mimba nao ni dhambi.....,na kama wanaenda kanisani kufunga ndoa wajue wanabariki....ndoa
nafikiri hili wakiwa makni watumishi wa mungu litapunguza sana uzinzi katika jamii
Hebu nikuulize ndugu, mwanamme mtu mzima anayefanya ngono na binti wa miaka 8 ni pedofile au sio pedofile.
NB: Twende taratibu usikimbie.
Kabla sijakujibu japo hujaniuliza mimi ningependa unielezee maana ya hiyo au hilo neno linaloonekana ni la kimombo "pedofile ",ili nielewe umeifahamu vipi tafsiri ya neno hilo au maana yake kwako ni ipi ? Na nikiendelea na kuichambua huo mstari wako ...anaefanya ngono...hapa panahitajika uhalali wa hiyo ngono ,je kuna makubaliano ya ndoa yalipita na hako kabinti ka miaka minane ? Au kalibakwa ,ilikuwaje kuwaje inafaa uweke picha ili sheria ichukue mkondo wake ? ,Halafu pia sijui kama unaufahamu au ndio jazba tu ili nawe uonekane umo , hivi katika ukiristo mwanamke anaeolewa inabidi awe na miaka mingapi ? Ningependa ushaidi kama upo au unapatikana ndani ya bible ? Kama hamna nafikiri huyo atakuwa si pedofile maana ndani ya dini amna kiwango maalum kilichowekwa. Nategemea hao wahusika watakuwa watu wanaofuata mrengo fulani wa dini.
NP:Tuende taratibu tusikimbizane .
Imesemwa tuende taratibu sasa kama unakubaliana na kauli hiyo ya kwenda taratibu ,usiseme weka jibu tu ,kama nikuweka jibu tu ,basi jibu lililowekwa ni kuwa alikwishakukuelewa na hapo ungelinyamaza na kukaa tuli.Kama umechukua dhima ya kujibu swali bila kuulizwa ni vyema tu.
Kwa kifupi sihitaji maelezo, wewe weka tu jibu. Ndio au Hapana? Nadhani sio vigumu kiasi hicho.
Kwa hiyo unataka wenye dhambi wasifungishwe ndoa?
ahaaaaaa
si wenye dhambi kaka;waliozaa nje ya ndoa hawafungishwi ndoa
wanabariki ndoa.tofautisha kati ya kufunga ndoa na kubariki ndoa....
Imesemwa tuende taratibu sasa kama unakubaliana na kauli hiyo ya kwenda taratibu ,usiseme weka jibu tu ,kama nikuweka jibu tu ,basi jibu lililowekwa ni kuwa alikwishakukuelewa na hapo ungelinyamaza na kukaa tuli.
Sasa kama umehitajia taratibu itabidi paendwe taratibu,vinginevyo kaa kimya.
Pdidy sio makanisa yote, makanisa ya kiprotestant ndio yako hivi, nayo hutegemea aina ya pastor wa mahali hapo
mkuu waberoya nikisoma hapo juu naona jamaa aliona hayo kanisa la st joseph ....nahisi haya matatizo yamemwagika kila makanisa..mungu aturehemu tu...swali linalokuja iweje wanafungisha watu ndoa wakati wanawaona na MITUMBO yao madhabahuni