Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,989
Nchi inakwenda shimoni.....
Huko shimoni unaipeleka wewe?
Nchi inakwenda shimoni.....
Miaka 50 ya kuomba omba sio kumikosa ni mazoea yetu ya kusahau vya kwetu na kukimbilia nje kwenda kuomba tufunge mkanda tusonge mbele.Tuangalie tunatokaje hapa miaka kumi ya omba omba imekwisha.
Kiburi haswa ndo naona kitatugharimu. Yaani serikali kwa makusudi wanashindwa ku comply na terms za MCC na hatimaye tunanyimwa msaada wa Trillion 1 kwa mwaka halafu kuna watanzania wanafikiri eti tutaweza wenyewe. Mnajidanganya sana aisee. Kwa umasikini nnaouona hivi vijiji vya kitanzania nadhani tulikuwa tunahitaji hizi fedha sana.
Nchi yetu masikini sana, sasa unapoanza kugombana na watoa misaada sijui ni ujasiri wa wapi huu.. tutashindwa mapema mno
Wasomi wetu ndiyo waliyoiangusha hii nchi na ndiyo maana wengine wanalia kwa kuondolewa ukuu wa mkoa na hiyo inaonyesha kwamba usomi wao umeshindwa kuwasaidia wao binafsi kiasi kwamba sasa wanakimbilia ajira za kisiasa.
hao wachumi ni sawa na kuku doti doti tu!! wanapaswa kupendekeza na kutoa ushauri sio kuvimbisha matumbo na kukosoa tu, kwan TZ ni ya magufuli peke yake...RAIS MAGUFULI KUPATA PIGO
Rais John Magufuli ametahadharishwa kupata pigo kubwa la kiuchumi linaloweza kuikumba serikali yake wakati wowote kuanzia sasa, jambo linaloweza kuwakatisha tamaa wananchi ambao kwa sasa wanamuunga mkono kwa kiasi kikubwa.
Tahadhari hiyo imetolewa na wachumi waandamizi nchini kufuatia mwenendo mbaya wa sasa wa nchi ktk uzalishaji wa bidhaa za kuuza nje, uhaba wa vyanzo mbadala vya kodi na kutoimarishwa kwa vyanzo vya fedha za kigeni ambavyo vinatajwa kuwa mhimili mkuu katika kuimarisha pato la ndani la taifa (GDP).
Chanzo: Raia Tanzania
mbona nchi za wenzetu hata muuza karanga na ubuyu wanalipa kodi?
RAIS MAGUFULI KUPATA PIGO
Rais John Magufuli ametahadharishwa kupata pigo kubwa la kiuchumi linaloweza kuikumba serikali yake wakati wowote kuanzia sasa, jambo linaloweza kuwakatisha tamaa wananchi ambao kwa sasa wanamuunga mkono kwa kiasi kikubwa.
Tahadhari hiyo imetolewa na wachumi waandamizi nchini kufuatia mwenendo mbaya wa sasa wa nchi ktk uzalishaji wa bidhaa za kuuza nje, uhaba wa vyanzo mbadala vya kodi na kutoimarishwa kwa vyanzo vya fedha za kigeni ambavyo vinatajwa kuwa mhimili mkuu katika kuimarisha pato la ndani la taifa (GDP).
Chanzo: Raia Tanzania [/QUOT]
Wachumi uchwara
Uko mkoa gani?... Tuanze na hilo kwanza.Sina maana ya kutetea uzembe na uvivu kwani natambua madhara yake.mwananchi atakaeshindwa kupata walau mlo mmoja kwa siku na wakat mvua za kutosha zinanyesha atakua ni mvivu na mzembe wa kutupwa
Wasomi wetu ndiyo waliyoiangusha hii nchi na ndiyo maana wengine wanalia kwa kuondolewa ukuu wa mkoa na hiyo inaonyesha kwamba usomi wao umeshindwa kuwasaidia wao binafsi kiasi kwamba sasa wanakimbilia ajira za kisiasa
Wasomi wetu ndiyo waliyoiangusha hii nchi na ndiyo maana wengine wanalia kwa kuondolewa ukuu wa mkoa na hiyo inaonyesha kwamba usomi wao umeshindwa kuwasaidia wao binafsi kiasi kwamba sasa wanakimbilia ajira za kisiasa.
Kukubali masharti maana yake ni kukabidhi nchi kwa aliyeshinda kweli kitu ambacho watawala hawapo tayari kuona kinatokea.Kiburi haswa ndo naona kitatugharimu. Yaani serikali kwa makusudi wanashindwa ku comply na terms za MCC na hatimaye tunanyimwa msaada wa Trillion 1 kwa mwaka halafu kuna watanzania wanafikiri eti tutaweza wenyewe. Mnajidanganya sana aisee. Kwa umasikini nnaouona hivi vijiji vya kitanzania nadhani tulikuwa tunahitaji hizi fedha sana.
Nchi yetu masikini sana, sasa unapoanza kugombana na watoa misaada sijui ni ujasiri wa wapi huu.. tutashindwa mapema mno
Anashaurika?Wao wa taalamu wanamsaidiaje Rais kwani vyeo wamepewa ili kumsaidia na kumushauri