Tigga Mumba
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 746
- 473
Hii kitu inanikera sana na akina dada mlioko kwenye mahusiano mnatakiwa mtambue hili.
Kuna haja gani ya kuwa na utitiri wa ma GUY FRIENDS? Ukisisitiza kuwa eti marafiki zako wengi wa kike hawako BBM na Facebook!!
Fahamu tu hao ma GUY FRIENDS wote wanatamani kukuvua nguo siku moja na kufanya mapenzi na wewe.
Kama umeamua kuwa na mtu, jicommit, epuka ma GUY friends wasiokuwa na umuhimu.
Vivyo hivyo wa wakina kaka!
Kuna haja gani ya kuwa na utitiri wa ma GUY FRIENDS? Ukisisitiza kuwa eti marafiki zako wengi wa kike hawako BBM na Facebook!!
Fahamu tu hao ma GUY FRIENDS wote wanatamani kukuvua nguo siku moja na kufanya mapenzi na wewe.
Kama umeamua kuwa na mtu, jicommit, epuka ma GUY friends wasiokuwa na umuhimu.
Vivyo hivyo wa wakina kaka!