Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.
Dereva Yassin Twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda Bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.
Dereva Yassin Twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda Bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.