National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,179
- 55,996
kupoteza mda. kwa mawazo yako upo sawaSijaweka kiushabiki, kwa ulaya nampa Christiano Ronaldo kuwa bora kuliko wote. Cheki ule uzi.
kupoteza mda. kwa mawazo yako upo sawaSijaweka kiushabiki, kwa ulaya nampa Christiano Ronaldo kuwa bora kuliko wote. Cheki ule uzi.
Washabiki wa Pele mpo sawa na wale wa Okocha.. mkiombwa kuleta takwimu mnakimbilia kuhesabu chenga.. na kuongea kwa ujumla.kupoteza mda. kwa mawazo yako upo sawa
Top 10 yangu niliyoishuhudiaWafuatao ndio wachezaji bora kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio ya timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Messi
2. Pele
3. Maradona
4. Ronaldinho
5. De Stefano
6. De Lima
7. Zico
8. Garrincha
9.Romario
10. Socrates
Hapa inabidi rivaldo awe angalau baada ya ronaldinho halafu afuate kaka.. ila umemuonea Roberto Carlos kutokumuweka.😂Top 10 yangu niliyoishuhudia
1. Leo Messi - The Greatest Of All Time
2. Ronaldo de lima
3. Ronaldinho Gaucho
4. Cafu
5. Kaka
6. Forlan
7. Suarez
8. Ivan Zamorano
9. Juninho Penambucano
10. Rivaldo
Hahaha toa Zico ( White Pele ) weka Rivaldo.Rivaldo alikuwa mchezaji mzuri sana ila sasa kwenye top ten anazidiwa na wenzake.
Nilitamanai sana awepo Roberto Carlos ila kumuacha nje Zamorano au Diego Forlan ni kuukosea heshima mpiraHapa inabidi rivaldo awe angalau baada ya ronaldinho halafu afuate kaka.. ila umemuonea Roberto Carlos kutokumuweka.😂
Point yako ni ya kweli kabisa na pengine mabadiliko yangeweza kufanyika. Ninaamini wanaweza wakatolewa na kuingia wengine.Hahaha toa Zico ( White Pele ) weka Rivaldo.
Unajua hao akina Zico, Careca, Socates na Falcao wanasifika sana kwa ile Samba yao ya mwaka 1982 World Cup ilipofanyika pale Spain (Espana).
Walionyesha soka safi lakini hawakutwaa taji lolote lile. Kwahyo twende na Rivaldo hapo ambaye ana mafanikio kwanzia klabuni hadi timu ya taifa.
Sheria zimewekwa ili zivunjwePoint yako ni ya kweli kabisa na pengine mabadiliko yangeweza kufanyika. Ninaamini wanaweza wakatolewa na kuingia wengine.
Ila ukiangalia polls za fifa na hata kule south america hao jamaa zico na socrates wanakubalika sana ndio maana ikawa changamoto kuwaacha.
Forlan anaweza kuachwa maana alivuma zaidi kwenye world cup moja na kabla ya hapo aliwahi kuwa flop hata united pale.Nilitamanai sana awepo Roberto Carlos ila kumuacha nje Zamorano au Diego Forlan ni kuukosea heshima mpira
Mnapoanza kutaja tajeni wakubwa sio kuleta mapenzi, mkubwa aanze kumega nyama.Wafuatao ndio wachezaji bora kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio ya timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Messi
2. Pele
3. Maradona
4. Ronaldinho
5. De Stefano
6. De Lima
7. Zico
8. Garrincha
9.Romario
10. Socrates
Ukichezea sebuleni kwenuPele kafunga magoli 757 kwenye mechi 812 za mashindano.. hayo magoli 526 yaliyobaki alifunga akiwa tour na washkaji na sio game za mashindano.
Mimi mwenyewe udogoni nimefunga zaidi ya hayo.🤣🤣
Kaka yuko wapi?Wafuatao ndio wachezaji bora kwa kuangalia mafanikio binafsi na mafanikio ya timu walizochezea ikiwemo timu za taifa:
1. Messi
2. Pele
3. Maradona
4. Ronaldinho
5. De Stefano
6. De Lima
7. Zico
8. Garrincha
9.Romario
10. Socrates
Watoto wadogo hao,watakwambia ATI Cortouis ni Bora kuliko Oliver KhanYaani Messi amzidi Pelle? unafta laana ya bure
View attachment 2340828
Kama ni Ballon d'or ndo inaamua basi Pelle na Maradona watoe tu muweke Kaka.Hivi Messi unamchukuliaje?? Ballon d'or saba magoli around 700 kwa game around 760 na makombe zaidi ya 40 ndio uhoji uhalali?
Ronaldinho ndio mchezaji ambaye kama angekuwa na consistency ya miaka kumi basi ndio angekuwa namba moja. Jamaa amechukua medali pamoja na makombe yote bila kusahau burudani ya aina yake aliyotuachia mashabiki.