Mbo Mpenza- Belgium na club alizochezea kama Galatassaray, Sporting Lisbon, Anderlecht miaka ya mwanzoni ya 2001 nakumbuka wakati wa kombe la dunia la Japan na Korea kuna gazeti moja la kibongo lilitoa stori yake pamoja na picha akiwa mazoezini katika mji wa kumamoto japan na kichwa cha habari MBO NDANI YA KUMAMOTO, matokeo yake ikaanzisha mjadala mkubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.