mkuu, mnaanza kujipanga jinsi ya kumpata 'dhaifu' mwingine, hongereni!!
Kidumu chama cha Mapinduzi.
Ndugu Makada wenzangu, kama mjuavyo siku zinazidi kupepea na mwaka 2015 ndio huo unatunyemelea kwa kwasi.
Hali ya kisiasa ndani ya nchi yetu ni shwari licha ya changamoto za hapa na pale tunazokumbana nazo, mathalan kutokana na udhaifu wa baadhi ya wadau tuliowapa jukumu la kuendesha serikali.
Nadhani imefika wakati tuanze KUANDAA mazingira mazuri ya atakayepokea kijiti cha Urais 2015. Hii haimaanishi kwamba kuacha kuwatumikia wananchi na kutekeleza ilani ya chama la hasha, ni sehemu ya mchakato.
Kwa maoni yangu nadhani hakuna mtu tunayepaswa kumuachia kijiti zaidi Lowassa. Nchi yetu inahitaji mtendaji atakayesukuma gurudumu kwa ustadi na kasi pasipo kuhatarisha umoja wetu. Nadhani tumfariji na kumpa ushirikiano ktk kipindi hiki kigumu anachopitia ili kuitimiza azma hii.
Wenu,
Kada.
Mie sioni shida ikiwa kama mkuu wa kaya haifahamu RICHMOND, unadhani yeye atakuwa amefanya ufisadi kwa kitu ambacho ni hewa (hakipo)?wananchi watatuuliza HUYU SI FISADI ALIYEIBA KUPITIA RICHMOND? tukiwambia HAPANA watatuuliza kwanini tulimvua uwaziri mkuu, tukijibu NDIYE watatupiga mawe
Kidumu chama cha Mapinduzi.
Ndugu Makada wenzangu, kama mjuavyo siku zinazidi kupepea na mwaka 2015 ndio huo unatunyemelea kwa kwasi.
Hali ya kisiasa ndani ya nchi yetu ni shwari licha ya changamoto za hapa na pale tunazokumbana nazo, mathalan kutokana na udhaifu wa baadhi ya wadau tuliowapa jukumu la kuendesha serikali.
Nadhani imefika wakati tuanze KUANDAA mazingira mazuri ya atakayepokea kijiti cha Urais 2015. Hii haimaanishi kwamba kuacha kuwatumikia wananchi na kutekeleza ilani ya chama la hasha, ni sehemu ya mchakato.
Kwa maoni yangu nadhani hakuna mtu tunayepaswa kumuachia kijiti zaidi Lowassa. Nchi yetu inahitaji mtendaji atakayesukuma gurudumu kwa ustadi na kasi pasipo kuhatarisha umoja wetu. Nadhani tumfariji na kumpa ushirikiano ktk kipindi hiki kigumu anachopitia ili kuitimiza azma hii.
Wenu,
Kada.
Wewe umetoka wapi huku?? Acha umbea
Huwezi kuendelea kukaa madarakani na tuhuma. Hajawataja kwa sababu ya kulinda umoja wa chama na taifa. ​Hata hivyo tunao muda wa kutosha kusafisha hili mbele za wananchi.
Huyo lowasa wenu ndio atakuwa bus letu la magogoni 2015,na mnavyo muogopa lazima mmpitishe na itakuwa imekula kwenu.
Fisadi maarufu,kiboko ya Nape.
Watu,peeeopppppleeeeeeeeeeeeeesssssssssssss poooooooooweeeeeeeer