Wachagga na misiba: kwa nini inafanyika bar?

Mwisho wa siku, kuna siku wachagga wataulizwa kwanini wanatoa matangazo ya vifo redioni, kwanini vikao vya harusi wanafanyia bar na wala si ukumbini. Kwanini wanawasomesha watoto wao shule za "watakatifu" badala ya Kayumba, kwanini wanapenda escudo badala ya corolla, kwanini wanakunywa bia badaka ya mnazi. Ili mradi tu ni wachaga basi lazima waulizwa. Maswali kwa wachaga yakipungua, watahamia kwa wahaya, afu wasukuma kisha wanyakyusa.
 
Sio misiba tu hata mipango ya harusi pia, mie nawaunga mkono kutokana na maisha ya Dar yalivyo vuta nikuvute kwanza address hakuna na wengine wamepanga chumba kimoja na wengine wanakaa maghorofani hakuna nafasi.
 
:A S thumbs_down:hapana mimi nakataa hii hoja yako....:blah:hivi wachaga tuu wanafanya mipango? makabila mengine wanazikaje? hawapokei rambi rambi? chaggaz are always well organized kwa kila jambo, la huzuni na furaha.
wachagga mmm !!!bado kidogo wataanza kutoa kadi za mazishi soon wait and see wanakokwenda
 
:A S thumbs_down:hapana mimi nakataa hii hoja yako....:blah:hivi wachaga tuu wanafanya mipango? makabila mengine wanazikaje? hawapokei rambi rambi? chaggaz are always well organized kwa kila jambo, la huzuni na furaha.
Kweli wachagga ni well organized but recently wamekuwa ndivyo sivyo kwa kweli.Makabila mengine lazima waende nyumbani kwa marehemu wakalie weeee!!! ili wajiridhishe kwamba marehemu kafa.
 
Huwa wanakutana bara ila siyo mara zote, lengo la kuchagua sehemu kama hizi ni kupunguza ule usumbufu kua fulani kafiwa na anaishi bunju basi kuunganisha wote kwa pamoja hata yule ndugu anayeishi gongo la mboto, au mbagala, basi tukutane mwenge au ubungo, hivyo lengo ni kurahisisha kukutana kwenye public area au hata nyumbani kwa mfiwa kama ni centre ya watu wengi, na siyo lazima iwe bar pekee...
 
Back
Top Bottom