data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Mmesema mengi sana but all in all, mauaji mengine huwa yanatokea kutokana na kudaiwa na mizimu damu ambazo walimwaga mababu au wahenga wao miaka ya nyuma. Hii haina mchagga wala nani, ni hasara inayotokana na kutambikia mizimu na kutambikia mizimu ni kuweka maagano ya damu na shetani, sasa inapofika mahali hayo matambiko hayafanyiki tena ndio utasikia mauaji kama hayo. manake haiingii akilini mtu mwenye akili timamu kuua hovyo na kujiua mweyewe hivihivi tu, inakuwa ni lile agano la mizimu linamsukuma kufanya hivyo manake mizimu inadai damu ambayo mliwekeana makubaliano ya kumwaga damu kila baada ya muda fulani. sasa kama ulikuwa unamwaga damu kwa kuchinja mbuzi then ukafika mahali ukaacha, kumbuka lile agano bado lipo kwahiyo damu yako au ya wanao au wajukuu au vitukuu na kuendelea itamwagika mpaka mtakapo vunja hilo agano au mwendelee kutambikia hiyo mizimu. Acheni kutambika na vunjeni hayo maagano ya damu mliyofanya na mizimu/kuzimu ili muwe safe. Hii ni kwa wale ambao huwa wanatambika mpaka leo, hiyo ndio gharama yake na sio sababu ya mapenzi wala pesa.
umeongea KITU KIKUBWA SAAANA....