Wachaga bana awana hiana kabisa!!!!!!

Eee! Mungu utusaidie tuendelee ku survive bcs daily they try to make infrastructures of destroying our appearence in public but we will overcome this in the name of JESUS CHRIST Amen!

you made ma day shemej.
 
Mume mmoja wa kichaga alimfumania mke wake na mjita
mume:kwa nini unatembea na mkewangu
mjita:samahani sikupenda nilipitiwa tu naomba nitoe faini ya sh 5000
mjita akatoa alfu alfu kumi
mume wa kichaga:aise kwa kweli sina chenchi embu malizia ya mwisho tumalize chenchi iliobaki

mjita akala kona hata chenchi akusubiri akajua panga linamsubiri

Angepewa dola 100 si ndo angemuozesha kbs??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom