THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Watu wengne wanatumia udgaifu wa wenzao kuficha mambo yao uckute yajwako inachekesga kama ya mende tehee
Nawe kumbe umo ? Teh teh teh...
Near by Mlima nyoka Mbeya.
Watu wengne wanatumia udgaifu wa wenzao kuficha mambo yao uckute yajwako inachekesga kama ya mende tehee
Eee! Mungu utusaidie tuendelee ku survive bcs daily they try to make infrastructures of destroying our appearence in public but we will overcome this in the name of JESUS CHRIST Amen!
Nyingine ya facebook,leo umeamua kuhamishia thread za jokes huku MMU.
hahahaha ila kusema kweli hiyo ya miguu ni kweli. wachaga wengi wanawake hawana miguu hahahaha
aisee umenikumbusha ....miguu ya kuku ...mwili wa nguruwe
Hivi kwa nini ?!!
Mh wachaga taifa kubwa eti hujui??,naona mnatafuja vijisababu visivyo na vichwa wala miguu,,hamshangai kwa nn kila siku watu wanaoa wanawake wakichaga.
Wanaoa bcoz wana nyota ya mihela,nothing mo!!!
Mume mmoja wa kichaga alimfumania mke wake na mjita
mume:kwa nini unatembea na mkewangu
mjita:samahani sikupenda nilipitiwa tu naomba nitoe faini ya sh 5000
mjita akatoa alfu alfu kumi
mume wa kichaga:aise kwa kweli sina chenchi embu malizia ya mwisho tumalize chenchi iliobaki
mjita akala kona hata chenchi akusubiri akajua panga linamsubiri