BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Mume mmoja wa kichaga alimfumania mke wake na mjita
mume:kwa nini unatembea na mkewangu
mjita:samahani sikupenda nilipitiwa tu naomba nitoe faini ya sh 5000
mjita akatoa alfu alfu kumi
mume wa kichaga:aise kwa kweli sina chenchi embu malizia ya mwisho tumalize chenchi iliobaki
mjita akala kona hata chenchi akusubiri akajua panga linamsubiri
mume:kwa nini unatembea na mkewangu
mjita:samahani sikupenda nilipitiwa tu naomba nitoe faini ya sh 5000
mjita akatoa alfu alfu kumi
mume wa kichaga:aise kwa kweli sina chenchi embu malizia ya mwisho tumalize chenchi iliobaki
mjita akala kona hata chenchi akusubiri akajua panga linamsubiri