Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Jioni hii wabunge wa CCM ambao ndio wengi wamekataa pendekezo la Mbunge wa upinzani Wenje la kukataa ongezeko la gharama za simu kwa vile limetoka kwa mpinzani.
Serikali ya CCM inataka tutoboke zaidi tutumiapo simu?
Je, hawa wabunge waliosema 'Ndiyoooo' dhidi ya maumivu kwa wananchi wanamwakilisha nani Bungeni?
Serikali ya CCM inataka tutoboke zaidi tutumiapo simu?
Je, hawa wabunge waliosema 'Ndiyoooo' dhidi ya maumivu kwa wananchi wanamwakilisha nani Bungeni?