Hivi hawa watu wanafikiria Kuongeza Kodi kwa mtumiaji wa simu ili tuende sawa na kenya na Uganda? Mimi nafikiri tungeanza kwa kuboresha kwanza maisha ya mtanzania ili yaendane na maisha ya Wana afrika Mashariki wengine kwanza. Ili basi tulingane kwa kila kitu. Hivi hii jeuri ya kukaidi na kuhisi kila mnachofikiri ni sahihi mmeitoa wapi?