mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Ninachowapenda ni Wakali; Mmoja amependekeza kuweka sheria ya kunyonga MAFISADI walioka SERIKALINI ina Maana
Hata Wabunge wakipatakana kufisadi... IWE KWENYE KATIBA...
Hii sio justification ya wao kutuongelea chochote ambacho hakiwahusu ,mbona suala la mafuta wao walikuwa wakali
ingawaje lilikuwa katika list ya vitu vya muungano , matatizo ya watanganyika yatatuliwa na watanganyika