EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Idadi ya viti maalumu bungeni kama sikosei, CCM 65, Chadema 25, CUF 10.
CDM wameongeza mbunge mmoja wakuchaguliwa kwa hiyo kura za ubunge pia zimeongezeka. Hapo mahesabu yanakuwaje, kama mbunge mmoja hataleta changes zozote tuseme CDM wakashinda tena Segerea? bado kutakuwa hakuna changes. Nakama kutakuwa na changes kwa maana kwamba CDM wanaongeza mbunge wa viti maalum, je, idadi ya viti maalum vya CCM itapungua au itabaki kuwa ile ile?
Naomba yeyote angalau anayefahamu mahesabu yake anifahamishe. Asante.
CDM wameongeza mbunge mmoja wakuchaguliwa kwa hiyo kura za ubunge pia zimeongezeka. Hapo mahesabu yanakuwaje, kama mbunge mmoja hataleta changes zozote tuseme CDM wakashinda tena Segerea? bado kutakuwa hakuna changes. Nakama kutakuwa na changes kwa maana kwamba CDM wanaongeza mbunge wa viti maalum, je, idadi ya viti maalum vya CCM itapungua au itabaki kuwa ile ile?
Naomba yeyote angalau anayefahamu mahesabu yake anifahamishe. Asante.