Japhet Mosi
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 207
- 53
Dr Tulia Ackson alishindwa kujibu swali la Mheshimiwa Silinde ndipo Ndugai akamuokoa kwa kumuambia akakae. Zomea zomea ikafuata amebebwa....amebebwa....amebebwa......
wanaweza pia kusema hapanaaaaaaa ila hatupendezwi na tabia za kihuni bungeni, kutukana na kuzomea sio akili wala ujanja zaidi sana ni ukanjanja tu.
wanaweza pia kusema hapanaaaaaaa ila hatupendezwi na tabia za kihuni bungeni, kutukana na kuzomea sio akili wala ujanja zaidi sana ni ukanjanja tu.
Dr Tulia Ackson alishindwa kujibu swali la Mheshimiwa Silinde ndipo Ndugai akamuokoa kwa kumuambia akakae. Zomea zomea ikafuata amebebwa....amebebwa....amebebwa......
Nilikuwa na hamu ya kumsikiliza Dr Tulia lakini zomeazomea zikaharibu kila kitu!zomeazomea ilikuja wakati anaelekea kujibu swali..ukawa wawe na subira wanatunyima uhondo wa mambo kutoka bungeni!
Naona aibu sana kwa nchi yangu.
Unapotazama bunge na kuona jitu zima kabisa na akili zake, tena limepata kura elfu 30, ili kuwawakilisha wana nchi wa jimbo lake anaishia kusema "buuuu" , hiyo sio sifa wala akili ni matope.
Kwa bahati mbaya sana, wabunge waliochaguliwa kwa tiketi ya ukawa wanadhani upinzani ni kupiga kelele bungeni, kutukana, kubishia kila kitu na pia kutoka nje.Sidhani waliowachagueni waliwapa dhamana hiyo, mkafanye mnayoyafanya sasa.
Mkiwa majukwaani mbona hampigi makelele hovyo au kutukana au kuzomea au kukimbia majukwaa kama mnavyofanya mkiwa bungeni.Mkiwa mnaomba kura mnaigiza busara za hali ya juu, kumbe hamnazo hata chembe.
Acheni ujinga na kudhalilisha bunge letu na pia wananchi waliowapigia kura wananchi angalieni wabunge mliowachagua, wanawaaibisha.
Nilikuwa na hamu ya kumsikiliza Dr Tulia lakini zomeazomea zikaharibu kila kitu!zomeazomea ilikuja wakati anaelekea kujibu swali..ukawa wawe na subira wanatunyima uhondo wa mambo kutoka bungeni!
Ndo mana nikaama chadema kwa sababu ya uhuniuhuni ka huo
Naona aibu sana kwa nchi yangu.
Unapotazama bunge na kuona jitu zima kabisa na akili zake, tena limepata kura elfu 30, ili kuwawakilisha wana nchi wa jimbo lake anaishia kusema "buuuu" , hiyo sio sifa wala akili ni matope.
Kwa bahati mbaya sana, wabunge waliochaguliwa kwa tiketi ya ukawa wanadhani upinzani ni kupiga kelele bungeni, kutukana, kubishia kila kitu na pia kutoka nje.Sidhani waliowachagueni waliwapa dhamana hiyo, mkafanye mnayoyafanya sasa.
Mkiwa majukwaani mbona hampigi makelele hovyo au kutukana au kuzomea au kukimbia majukwaa kama mnavyofanya mkiwa bungeni.Mkiwa mnaomba kura mnaigiza busara za hali ya juu, kumbe hamnazo hata chembe.
Acheni ujinga na kudhalilisha bunge letu na pia wananchi waliowapigia kura wananchi angalieni wabunge mliowachagua, wanawaaibisha.
Dr Tulia Ackson alishindwa kujibu swali la Mheshimiwa Silinde ndipo Ndugai akamuokoa kwa kumuambia akakae. Zomea zomea ikafuata amebebwa....amebebwa....amebebwa......