LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Nimefuatilia kwa karibu campaign za ccm katika chaguzi mbalimbali na nimebaina kuwa katika majimbo yote yenye utajiri wa madini na rasimali nyingine za thamani ccm hufanya kila mbinu kuhakikisha inashinda uchaguzi. Pia ccm huhakikisha raia wa eneo huska wanabaki maskini:- kwa uchache hii ndiyo mifano ya majimbo husika na utajiri uliosheneni:-
1. Mbinga - Utajiri wa Dhahabu, Chuma na vito vya thamani
2. Nyang'hwale - Utajiri wa dhahabu na miti migumu ya asili
3. Geita - Dhahabu
4. Shinyanga - Dhahabu na Almasi
5. Tarime - Dhahabu na Wanyama pori
6. Igunga - Dhahabu na Almasi
7. Mafia - Mafuta na Gesi asilia
8. Mkuranga - Mafuta na gesi asilia
9. Mtwara - Mafuta na gesi asilia
10. Njombe - Kilimo cha biashara na Madini ya chuma
11. Namtumbo - Uranium, dhahabu na wanyama pori
.
.
.
.
.
.
.
.
Waweza kuongeza orodha.
Chunguza wabunge wanaotoka katika hayo majimbo/wilaya na michango yao bungeni
Swali langu ni: is this a coincidence or calculated move to protect the looters?
1. Mbinga - Utajiri wa Dhahabu, Chuma na vito vya thamani
2. Nyang'hwale - Utajiri wa dhahabu na miti migumu ya asili
3. Geita - Dhahabu
4. Shinyanga - Dhahabu na Almasi
5. Tarime - Dhahabu na Wanyama pori
6. Igunga - Dhahabu na Almasi
7. Mafia - Mafuta na Gesi asilia
8. Mkuranga - Mafuta na gesi asilia
9. Mtwara - Mafuta na gesi asilia
10. Njombe - Kilimo cha biashara na Madini ya chuma
11. Namtumbo - Uranium, dhahabu na wanyama pori
.
.
.
.
.
.
.
.
Waweza kuongeza orodha.
Chunguza wabunge wanaotoka katika hayo majimbo/wilaya na michango yao bungeni
Swali langu ni: is this a coincidence or calculated move to protect the looters?