Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Wapendwa wanaJF
Ninawaomba kwa yeyote mwenye direct access na Mbunge yeyote awaye, amuombe kuhoji Serikali juu ya kuporomoka kwa Elimu hasahasa ya Msingi hususani katika kipindi hichi cha Mh. J.K. Kulikoni? Tunakwenda wapi?
Primary School Leaving Examination results for 2003 - 2009
Ninawaomba kwa yeyote mwenye direct access na Mbunge yeyote awaye, amuombe kuhoji Serikali juu ya kuporomoka kwa Elimu hasahasa ya Msingi hususani katika kipindi hichi cha Mh. J.K. Kulikoni? Tunakwenda wapi?
Primary School Leaving Examination results for 2003 - 2009
YEAR | No. of Candidates | No. Passed | Pass Rate (%) |
2003 | 490,018 | 196,273 | 40 |
2004 | 499,241 | 243,045 | 49 |
2005 | 493,636 | 304,936 | 62 |
2006 | 664,263 | 468,279 | 70 |
2007 | 773,573 | 419,136 | 54 |
2008 | 1,017,865 | 536,672 | 53 |
2009 | 999,070 | 493,333 | 49 |
Source: Ministry of Education & Vocational Training |