Kelele zimapigwa nyingi sana na wabunge kuhusu uwajibikaji wa mawaziri, tulitarajia mpaka sasa sahihi anazo hitaji Mh.Zitto ziwe hata zaidi ya 100, lakini kwa taarifa nilizonazo hata 50 hazijafika. Sasa je, machungu waliotuonesha wabunge ni ya kweli au kiini macho? sababu usanii umeanzia magogoni mpaka chini.
Wafanye wafanyayo tunawasubiri majimboni. Ukweli kuhusu wao wana mwakilisha nani tutakuwa tumeujua. Mwenye maono au waonao mbali kama kina Millya na wenzake sasa tutawaona. Kama kweli una hakili timamu huwezi kung'ang'ania chama kinacho kufa. Mnajua mpaka sasa kuna watu wengi bado hawaamini kama sisiemu inakufa!
Deo Filikunjombe na wenzio tuonesheni kwa vitendo. Hata kama watawafukuza kwenye chama mnauhakika wa kurudi mjengoni kupitia vyama vingine tena kifua mbele kuliko kujifedhehesha kwa kukumbatia chama kinacho kufa.
Kelele zimapigwa nyingi sana na wabunge kuhusu uwajibikaji wa mawaziri, tulitarajia mpaka sasa sahihi anazo hitaji Mh.Zitto ziwe hata zaidi ya 100, lakini kwa taarifa nilizonazo hata 50 hazijafika. Sasa je, machungu waliotuonesha wabunge ni ya kweli au kiini macho? sababu usanii umeanzia magogoni mpaka chini.
Wafanye wafanyayo tunawasubiri majimboni. Ukweli kuhusu wao wana mwakilisha nani tutakuwa tumeujua. Mwenye maono au waonao mbali kama kina Millya na wenzake sasa tutawaona. Kama kweli una hakili timamu huwezi kung'ang'ania chama kinacho kufa. Mnajua mpaka sasa kuna watu wengi bado hawaamini kama sisiemu inakufa!
Deo Filikunjombe na wenzio tuonesheni kwa vitendo. Hata kama watawafukuza kwenye chama mnauhakika wa kurudi mjengoni kupitia vyama vingine tena kifua mbele kuliko kujifedhehesha kwa kukumbatia chama kinacho kufa.
kasheshe sijui kikwete huko alipo ikoje
ndugu Deo Filikunjombe amesaini. Huu ndio unaitwa ushujaa Kuwa upande wa wananchi.....
idadi inazid kusonga mbele...70 watafika tu
Hii ni baada ya kutoka kwa Lukuvi? Kama ni kweli, basi kamanda ana msimamo. Keep it up DFH. Tuko nyuma yako Mh.
Huyu muheshimiwa anastahili sasa kuwa kamanda sio kina Mwakyembe wanauma na kupuliza.ndugu Deo Filikunjombe amesaini. Huu ndio unaitwa ushujaa Kuwa upande wa wananchi.....
idadi inazid kusonga mbele...70 watafika tu
yap baada ya kutoka kwa lukuvi ametia sahihi....
Wabunge wa vyama vyote bungeni wameshiriki so far isipokuwa UDP