Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,060
Zote hizo za wapinzani...hazima madhara!!!Nasikikia zimeshafika 48 mpaka sasa only 22 to go.... Duh jamaa kweli wako serious
Zote hizo za wapinzani...hazima madhara!!!Nasikikia zimeshafika 48 mpaka sasa only 22 to go.... Duh jamaa kweli wako serious
Kwa mtizamo wangu mimi tukishamtoa Pinda basi tujaribu na imani ya Rais wetu au mnasemaje wadau.
Tupe majina ya walioweka sahihi, hii sio siri
Kama itakuwa nikweli this is a good move aisee!
Zote hizo za wapinzani...hazima madhara!!!
Ahsante Mkuu kwa up dates!!!!!!wana jf naomba niwambie kuwa zile sahihi sabini ndio hivi sasa karatasi inapita na wanasain.wabunge wa CUF na CDM wote wanasaini hivi sasa. Ifikapo saa tano tutakuwa na sahihi zote zinazotakiwa. Kuna wabunge 10 CCM wao wameshatia sahihi.....tutaendela kuwapa update hapa jf...
Huu ni mtego wa pili mkubwa kuhasisiwa na CHADEMA dhidi ya CCM.
Wa kwanza ulifanyika nje ya Bunge pale Mwenge Yanga yalipofunuliwa majina ya mafisadi.
Huu ni wa pili, unafunuliwa Bungeni.
Madhara ya huu wa sasa by any means yatakuwa makubwa zaidi, kura sabini zipatikane au zisipatikane kura ya kutokuwa na imani na PM ifaulu au isifaulu, ni upanga unaokula kuwuli.
Nafuatilia.
wana jf naomba niwambie kuwa zile sahihi sabini ndio hivi sasa karatasi inapita na wanasain.wabunge wa CUF na CDM wote wanasaini hivi sasa. Ifikapo saa tano tutakuwa na sahihi zote zinazotakiwa. Kuna wabunge 10 CCM wao wameshatia sahihi.....tutaendela kuwapa update hapa jf...
wana jf naomba niwambie kuwa zile sahihi sabini ndio hivi sasa karatasi inapita na wanasain.wabunge wa CUF na CDM wote wanasaini hivi sasa. Ifikapo saa tano tutakuwa na sahihi zote zinazotakiwa. Kuna wabunge 10 CCM wao wameshatia sahihi.....tutaendela kuwapa update hapa jf...